SHAMAC
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 1,343
- 3,560
Noah oyeeeeeeeee!
Neyo anatamani angekuwa diamond
Hhahah,,, Mkuu una kipaji cha kuchekesha sio bure... Timamu TV anafanya usaili wa comedians this tym...!!
Noah oyeeeeeeeee!
Neyo anatamani angekuwa diamond
Iwe ya kibuluu ng'aavu.
Iwe na spotlight mpaka kwenye realms, na kwenye wipers.
Iwekewe honi ya eicha.
Iwe na buti kubwa ili kuweza kupakia makinikia ikitokea dharura.
ok fanya utafiti ilipo noah's arch na bei uleteweYOYOTE ILE ILIMRADI IWE NOAH
Uchochezi na Upotoshwaji wa aina hii hauvumiliki...................!!!!!Watanzania katika mikoa mbalimbali nchini wameanza kumiminika katika vyuo vya udereva baada ya kuahidiwa kila mtu atapata Noah yake.
Je wewe ungependa Noah yako iwe rangi gani,manual au automatic,cc ngapi na toleo gani. Mimi nataka nyeusi old model automatic transmission
Karibuni kuchagua Noah zenu