MAKINIKIA: Watanzania wamimininika kujifunza udereva

Medecin

JF-Expert Member
Nov 29, 2011
7,899
21,311
Watanzania katika mikoa mbalimbali nchini wameanza kumiminika katika vyuo vya udereva baada ya kuahidiwa kila mtu atapata Noah yake.
Je wewe ungependa Noah yako iwe rangi gani,manual au automatic,cc ngapi na toleo gani. Mimi nataka nyeusi old model automatic transmission
Karibuni kuchagua Noah zenu
 
Iwe ya kibuluu ng'aavu.
Iwe na spotlight mpaka kwenye realms, na kwenye wipers.
Iwekewe honi ya eicha.
Iwe na buti kubwa ili kuweza kupakia makinikia ikitokea dharura.
Dah Mkuu Kwa sifa hizo itakuwa coster au Isuzu journey sio noah tena
 
Hii habari ya Noah, itaanza kuwachefua wakuuu, lkn ndo tatizo kufanya assumptions kwenye mambo ya kisayansi, nilisikia siku ile; hela yote iliyopotea tungeweza kujenga SGR kutoka dar mpaka mwanza, dhahabu yote ingeweza kujaza roli 35 za tani 7 nk, hawajui kuwa wanajenga image flan katika mawazo ya watanganyika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…