Salaam, Shalom!
Ndoto ni Nini?
Umewahi ota ndoto ukadhani unaota?
Usilolijua ni kuwa, hakuna kinaitwa kuota ndoto!
Ukisikia Imeandikwa akalala, Kisha akaota ndoto, SI maigizo, ni tukio halisi la wewe mwenyewe kuona kwa macho ya Roho Katika ulimwengu wa Roho.
Mtu alalapo, afungapo macho ya mwili, hufungua macho ya Roho, hivyo ndoto ni tukio halisi, ndoto ndio WEWE mwenyewe,
WEWE ndio ndoto yenyewe.
Sasa kuanzia Leo, ukiona mambo au matukio Katika lugha ya picha ulipolala, usippuuze🙏
Yupo Mungu kukusaidia kuyajua uliyoyaona ullipolala.
Mbarikiwe nyote .
Karibuni kwa maswali.
Source: Ayoub 33:15
Ndoto ni Nini?
Umewahi ota ndoto ukadhani unaota?
Usilolijua ni kuwa, hakuna kinaitwa kuota ndoto!
Ukisikia Imeandikwa akalala, Kisha akaota ndoto, SI maigizo, ni tukio halisi la wewe mwenyewe kuona kwa macho ya Roho Katika ulimwengu wa Roho.
Mtu alalapo, afungapo macho ya mwili, hufungua macho ya Roho, hivyo ndoto ni tukio halisi, ndoto ndio WEWE mwenyewe,
WEWE ndio ndoto yenyewe.
Sasa kuanzia Leo, ukiona mambo au matukio Katika lugha ya picha ulipolala, usippuuze🙏
Yupo Mungu kukusaidia kuyajua uliyoyaona ullipolala.
Mbarikiwe nyote .
Karibuni kwa maswali.
Source: Ayoub 33:15