au ingia hapa - http://freeovulationcalendar.net/
Yani hiyo site ndo ina madetails ya hatari, na imeenda darasa la kufa!..huh!
Big up Preta 4 helping him, nadhani mwakani miezi kama hii ni ..ng'eeee..ng'eeee..ng'eeee
Soma kitabu cha afya cha sister dr. Birigita na mumewe, wameeleza vizuri sana juu ya majaribio hayo.
Nimeona watu wengi wamesaidika sana na kitabu kile, nadhani hata mimi!
Lakini, kabla ya yote MWEKE MUNGU MBELE!
Nazidi kuelewa kuwa kuna data nyingi sina. Hii itanisaidia katika utume wangu katika kushauri. Thanx Preta!au ingia hapa - http://freeovulationcalendar.net/
utakujakumbuka maneno yangu: Mtoto ni mtoto awe wa kiume au wakike,ukibagua au kupanga ninauhakika utakuja juta baadae kwa nini ulimtaka wa jinsia hiyo.huwezi amini,lakini utakuja amini some years to come/hapo baadae...............itakula kwako tu.sijui kwa nini nasema haya,any way tusameheane. My statement stands still.thank you pakajimmy,mungu yuko mbele!hicho kitabu nakipata wapi kama unaweza kunisaidia tu ili nikitafute!natanguliza shukurani.
au ingia hapa - http://freeovulationcalendar.net/
utakujakumbuka maneno yangu: Mtoto ni mtoto awe wa kiume au wakike,ukibagua au kupanga ninauhakika utakuja juta baadae kwa nini ulimtaka wa jinsia hiyo.huwezi amini,lakini utakuja amini some years to come/hapo baadae...............itakula kwako tu.sijui kwa nini nasema haya,any way tusameheane. My statement stands still.
Preta you are a wonderful wo(man),thank you so much!.I wish I could pay you for this valuable info. 6 Boys no girl is too much-ahahaaaha, . I will come back 2u next yr with the results!Katabazi!
...na wale wadada wenye irregular pd inakuwaje Preta?