salimtevez
Senior Member
- Feb 26, 2014
- 187
- 17
Kujiuzulu ni lazima na wakibisha bas tuta lazimisha mpaka Jk pia ajiuzulu
Ni kweli hao mawaziri haiwapasi kuwajibika kwa vile mwizi mkuu ni Jakaya. Huyu ndiye anapaswa kuwajibika.Kuwajibika bila sababu za msingi ni mpuuzi mtu hawezi kuwajibika pasipo sababu za msingi.
Kuwajibika bila sababu za msingi ni mpuuzi mtu hawezi kuwajibika pasipo sababu za msingi.