Maendeleo tu
JF-Expert Member
- Oct 9, 2010
- 347
- 107
Dawa ya kuisafisha CCM ni kuacha kulindana. Lakini hata hivyo kuna vijana wanakivuruga chama chao kwa ushabiki wa wagombea urais au maslahi fulani na hapa hawaelewi kitu maana wapo tayari hata kuhalalisha haramu