huyo lisu kafanya nini cha maana sasa mimi nimeona anapiga kelele tu.
huyo lisu kafanya nini cha maana sasa mimi nimeona anapiga kelele tu.
etiNasikia Nchimbi mavi yanagonga chupi
Lissu ni Jembe.
tena jembe haswaLissu ni Jembe.
huyo lisu kafanya nini cha maana sasa mimi nimeona anapiga kelele tu.
Huwezi kumuelewa wenye akili tumemuelewahuyo lisu kafanya nini cha maana sasa mimi nimeona anapiga kelele tu.
Hakuna kitu ni kuropoka tu
huyo lisu kafanya nini cha maana sasa mimi nimeona anapiga kelele tu.
Kwa mara ya kwanza nimemuona Spika wa bunge Makinda akimkubali Lisu kama mwanasheria wa ukweli ni baada ya Lisu kuinuka kutaja vifungu vya sheria na katiba juu ya kazi za jeshi la wananchi na siyo kupewa amri ya kwenda kuuwa watu ndani ya nchi yao kwenye maeneo ya Wafugaji ''Leo nimekukubali umeongea sheria tupu wewe ni mwanasheria''
Pia Lisu aliwataka Pinda, mwanasheria mkuu wa serikali, mawziri na watumishi wa serikali kuanchia ngazi kama alivyowajibika Alihasan mwinyi na wenzake miaka ya 70s baada ya kwenda kuuwa watu kwenye operesheni maalum eti kuwasaka wachawi.,
Bungeni Live,
huyo lisu kafanya nini cha maana sasa mimi nimeona anapiga kelele tu.
huyo lisu kafanya nini cha maana sasa mimi nimeona anapiga kelele tu.