Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Kila mtu anafahamu makengeza.
Mtu kuwa na makengeza anatafsiriwa kama mgonjwa au ana kilema ?
Ukiwa na makengeza unaona kawaida au kuna changamoto yoyote ?
Nini hasara ya kuwa na makengeza kwenye uonaji ?
Nisiwachoshe.
Mtu kuwa na makengeza anatafsiriwa kama mgonjwa au ana kilema ?
Ukiwa na makengeza unaona kawaida au kuna changamoto yoyote ?
Nini hasara ya kuwa na makengeza kwenye uonaji ?
Nisiwachoshe.