stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,819
- 22,921
Mbona kuna kiongozi mmoja yeye kazaliwa mambo safi toka mdogo ilishindikana vipi kurekebisha,tena kazaliwa mitaa yenye mahospitali yenye wataalamu wa kubobea,au utaalamu huo ulikuwa bado...?Watu wa zamani na hata wanaoishi vijijini wanakosa huduma hii