Weka hapa tujumlisheHiyo jumlisha na makato ya mtoa huduma.
Ni shetani pekee au mwendawazimu anaeweza kutetea huu upunguani wa phd isiyotumia busara na hekima.Serikali imekata tozo kwenye miamala yote kuanzia tarehe moja July mwaka huu... Kama akaunti yako haina salio kwa sasa tozo litakatwa punde akaunti ikiwekewa fedha. View attachment 2327409
Zilipenda baraza la Mawaziri mkuuNi shetani pekee au mwendawazimu anaeweza kutetea huu upunguani wa phd isiyotumia busara na hekima.
Hatuwezi kuendelea kwa kutumia elimu ya darasani pekee, busara na hekima inatakiwa katika 75% ya maamuzi yoyote hasa yanayogusa jamii, huyu waziri mpuuzi anayeamka ns tozo bila kujali kunakotozwa tayari kushakatwa kodi nyingine ni sawa na kichaa, mtu kama huyu mwenye phd ambayo haina busara na hekima bora aende akafundishe vyuoni
Nunua Madini,eg dhahabu uweke ndani, ni rahisi kuyapata, hayaozi, rahisi kuyahifadhi, yanapanda samani Kila leo.Dawa ni kununua safe nitunze ndani hela
Sawa, lakini si utalipwa kupitia benki? Sasa zitafikaje kwenye SAFE bila kukatwa wakati wa kuzitoa benki?Dawa ni kununua safe nitunze ndani hela
Hawa sio wengi wengi wapo chini ya laki 5Milioni tatu and above haivuki 5000 msilielie sana
Kwani hayo maamuzi ya kuanzisha hizo tozo anayatunga na kuridhia peke yake ?Ni shetani pekee au mwendawazimu anaeweza kutetea huu upunguani wa phd isiyotumia busara na hekima.
Hatuwezi kuendelea kwa kutumia elimu ya darasani pekee, busara na hekima inatakiwa katika 75% ya maamuzi yoyote hasa yanayogusa jamii, huyu waziri mpuuzi anayeamka ns tozo bila kujali kunakotozwa tayari kushakatwa kodi nyingine ni sawa na kichaa, mtu kama huyu mwenye phd ambayo haina busara na hekima bora aende akafundishe vyuoni
Wala. Wananchi wamelala kama makondoo wanabishana kuhusu Simba na Yanga.Haya matozo yanamharibia mama
Haya yote chanzo Ni magufuli, fedha zote aliingiza kwenye mamiradi yake, wenzie wamekuta Nchi haina akiba ya fedhaWala. Wananchi wamelala kama makondoo wanabishana kuhusu Simba na Yanga. Wangekuwa wakali unadhani wangethubutu kufanya huu ujinga? Mama haharibikiwi wala hatishiki, acha makondoo yakatwe fedha ili kina Kinana wapate fedha za kutumbua!
Ndo maana Bp, visukari , havikai nao mbali nao , KWa kweli to be honest SSH hastahili hata kufika 2025, nchi imemshinda Sana na inazidi kumshinda, waziri wake fedha ndo hakuna kitu hivi ni uchumi GANI, unatoa KWa mkono wa kushoto na unaiba KWa mkono wa kulia?Serikali imekata tozo kwenye miamala yote kuanzia tarehe moja July mwaka huu... Kama akaunti yako haina salio kwa sasa tozo litakatwa punde akaunti ikiwekewa fedha. View attachment 2327409
Panua ubongo wako kidogo. Tanzania tatizo kubwa siyo fedha ila ni matumizi. Matumizi yasiyo ya lazima na ufisadi ndiyo tanuru linalochoma fedha zetu.Haya yote chanzo Ni magufuli, fedha zote aliingiza kwenye mamiradi yake, wenzie wamekuta Nchi haina akiba ya fedha