MAKASA: Bi Mkubwa (Mama mkwe)

MAKASA: Bi Mkubwa (Mama mkwe)

presider

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2013
Posts
1,420
Reaction score
1,876
BI MKUBWA
( sehemu ya 1 )
Ni mwanamke ambaye alikuwa akiwanga usiku kila chumba katika nyumba yetu iliyokuwa jijini Arusha. Nilikuwa naogopa kumwambia mume wangu kuhusu uchawi wa mama ake na tabia yake ya kutusotea usiku tukiwa tumelala.
Siku moja alikuja chumbani kwetu na kunishusha chini akidhani kuwa amenipumbaza kwa dawa zake alizonimwagia lakini nilikuwa na akili timamu. Nilichukia sana baada ya kuona anataka kutufanyia kitu kibaya mimi na mume wangu ambaye ni mwanaye wa kumzaa.
Baada ya kunishusha juu ya kitanda na kunilaza kwenye zulia chumbani kwetu, mama mkwe alianza kumzunguka mume wangu akiwa kitandani, akachukua dawa yake akainywa kisha akamtemea mume wangu, akachukua kitambaa chekundu akakiloweka kwenye dawa yake akawa anampaka mume wangu sehemu ya siri kisha kumvua bukta yake.
Nilijisemea moyoni Nijifanye nimezinduka? Kutokana na kumuangalia mama mkwe wangu alivyokuwa akimfanyia mume wangu, moyo wangu ulikuwa ukidunda kama vile nimetoka kukimbia mbio ndefu dakika chache, nilikuwa natetemeka sana kwa kile nilichokuwa nakiona ila nilijipa ujasiri na kuendelea kuangali nini mama anakifanya Kwa mume wangu ?
Japoku kulikuwa na giza lakini mwanga wa taa za ulinzi, zilizokuwa zikiwaka nje, ziliniwezesha nione kila kitu alichokifanya mama mkwe dhidi ya mume wangu.
Niliona ni ajabu sana kumwona mama mkwe wangu akifanya mambo ya ajabu kwa mwanae wa kumzaa. Baada ya kumvua bukta akampaka dawa nyingine amabayo ilimfanya mume wangu mwili wake kusisimka na kusimamisha sehemu yake ya siri, mama mkwe wangu naye akavua nguo zake akapanda kitandani akashika sehemu za siri za mume wangu akazipaka mfuta, akaanza kufanya mapenzi na mume wangu huku akiimba nyimbo ambazo sikuzilewa.
Ni ajabu sana kuona mama mtu mzima akihangaika na mwanaye aliyemzaa na akawa anatembea naye huku nikimuona.
Uvumilivu uliniishia nikajifanya nanyoosha miguu huku nikikohoa.
Haraka sana kama vile paka anavyomkamata panya, bi mkubwa yule aliruka kitandani na kusimama huku akiniangalia, nikajifanya sijazinduka usingizini.
Alitoka mbio na kwenda chumbani kwake huku akiniacha nikiwa bado chini kwenye zulia na mume wangu alikuwa yupo kitandani lakini alikuwa hajui lolote linaloendelea maana alikuwa hajitambui.
Sikujua nini alimfanyia mpaka akawa kama aliyezimia, Nadhani ile dawa aliyokunywa na kumtemea ndio iliyomfanya mume wangu asijielewe.
Niliinuka pale chini na kuketi kitandani,
Ghafla mama mkwe akaingia tena chumbani kwetu huku akiwa na tunguri ndogo ambayo ilikuwa na shanga kibao kuzunguka mdomo wake na ilikuwa imepakwa mafuta.
Baada ya kuniona nikiwa nimekaa kitandani alipigwa na butwaa akashindwa kurudi nyuma kwa sababu aliingia akiwa na spidi kali.
Nilimuuliza Mama kwa nini umeingia chumbani kwetu, Kuna nini? ..
Mama alipata kigugumizi cha miguu maana alishindwa kurudi alipotoka au kuingia ndani kabisa akawa kama kashikwa na bumbuwazi hivi kuniona nikiwa nimekaa kitandani ni jambo ambalo hakulitegemea.
Akawa ananiangalia bila kusema chochote. Niliinuka na kuwasha taa, baada ya kuwasha taa ndipo alipoanza kutetemeka kama vile anaugua malaria kali.
"Mama umefuata nini huku chumbani kwetu?
"'Nime......nime.....
"Nime...Nime...kwani mama huwezi kuongea vizuri, na Mbona mikononi una tunguri ni ya nini? Mama kumbe wewe ni mchawi? Unaturoga?
""Sikiliza wewe mwanamke huyu ni mwanangu na Nina haki ya kupata kila kitu ninachokihitaji kutoka kwake, na wewe umemkuta akiwa amekua kwahiyo na wewe jichunge sana na sitaki kusikia unasema jambo hili kwa mtu yeyote, umenielewa?
Alifoka mama mkwe
Lakini mama kwa nini unatufanyia hivi? ina maana umeshindwa kwenda kwenye nyumba nyingine ukafanya upuuzi huu. Huyu ni mwanao, kwa nini umemvua bukta na kufanya Naye mapenzi?
Nilisema huku nikitetemeka kutokana na hasira.
"Narudia tena, sitaki kabisa kusikia hili jambo kwa mtu yeyote, ikivuja tu nakuumiza, tena ukiendelea kuniuliza maswali ya kijinga nitakuziba hicho unacholingia utabaki na kitobo kidogo tu cha kukojolea sawa , alisema mama mkwe huku akionekana kujawa na hasira.
Wakati anasema hayo nilijitahidi kumuamsha mume wangu lakini alikuwa hajui kinachoendelea. Nilijitahidi kumtikisa lakini akawa haamki wala kusema lolote alibaki kukoroma.
Niliamua kumvalisha bukta yake huku mama yake akiangalia. Nilipandwa na hasira nikatamani nimrukie mama mkwe wangu lakini niliona uhai wa mume wangu ni muhimu zaidi, hivyo nikawa najitahidi kumtingisha huku nikimuita jina.
"Usijifanye kuwa na hasira nakuambia kitu kimoja. Sema hapa kwamba hutasema siri hii kwa watu la sivyo nitamuacha mumeo akiwa katika hali hiyo, tuone utaringia nini?
Maneno hayo yalinifanya niamini kwamba mchawi huwa hana huruma. Kama mwanaye wa kumzaa anathubutu kusema atamuacha akiwa amezimia namna hii, je ningekuwa mimi si angeniacha nife kabisa?
"Mama tafadhali, mrudishie akili yake mume wangu. Nilimsihi lakini yeye akawa hajali na badala yake alikuwa akisema kwa kunongona maneno ambayo sikuwa nafahamu maana yake kwa sababu hayakuwa ya Kiswahili.
Wakati akifanya hivyo ghafla giza lilitanda chumbani. Sikujua nani alizima taa, awali nilidhani Tanesco wamezima umeme lakini niliamini ni mazingaombwe ya yule mama mkwe kwa sababu mwanga wa taa za nyumba ya jirani ulikuwa ukiingia katika nyumba yetu.
Kufumba na kufumbua nikaona mbele yangu limesimama kundi la watu waliokuwa wamevaa nguo nyeusi yaani kaniki. Kila mmoja akiwa amepaka rangi nyeusi usoni na katika mikono yao walikuwa wameshika usinga.
Niliishiwa nguvu na kujikuta nikiwa nimeketi kitandani kando yangu akiwa mume wangu ambaye alikuwa haelewi kinachoendelea.
Itaendelea.......
 
BI MKUBWA
( sehemu ya 2 )
Endeleaa........
Kufumba na kufumbua nikaona mbele yangu limesimama kundi la watu waliokuwa wamevaa nguo nyeusi yaani kaniki. Kila mmoja akiwa amepaka rangi nyeusi usoni na katika mikono yao walikuwa wameshika usinga.
Niliishiwa nguvu na kujikuta nikiwa nimeketi kitandani kando yangu akiwa mume wangu ambaye alikuwa haelewi kinachoendelea.
Mama mkwe baada ya kuwaona watu wale ambao alikuwa kawaita wameingia akaanza kuwapa shughuli aliyowaitia,
sikujua waliingilia wapi kwa kuwa milango na madirisha ilikuwa imefungwa, walianza kuimba
polepole huku wakicheza.
Nilimwagiwa na mama mkwe unga fulani
ulionifanya niishiwe nguvu na kujikuta
nikimdondokea mume wangu ambaye alikuwa amelala fofofo.
Japokuwa nguvu ziliisha lakini ubongo wangu ulikuwa ukijua kila kilichokuwa kinaendelea pale, Nilifumba mambo kwa hofu kwamba nikiwaangalia
wanaweza kuniangamiza kabisa au kunipa dawa zaidi ambazo zitaniumiza.
Nilitamani mume wangu naye apate fahamu ili ajionee mauzauza haya anayofanya mama yake na ushirikina wake kwa mambo ya ulozi.
Mzee mmoja ambaye sikuwa namjua jina nilimsikia akimuuliza mama mkwe.
“Tuambie, umetuitia nini?
” Mama mkwe nilihisi alihama pale alipokuwa amesimama na sasa alikuwa karibu kabisa na pale tulipolala mimi na mume wangu.
"Akanifunua nguo ya kulalia kwa kutumia usinga alioshika, kisha akamwambia yule mzee 'Vipi hapa ujapapenda? Alikuwa akionesha sehemu za mapaja yangu.
"Yule mzee akanisogelea akachukua kitamba chekundu akachovya dawa yake akanipaka sehemu ya siri, baada ya kunipaa tu ile dawa nilijisikia raha sana, nilitamani sana aje karibu yangu ili aje anipe chakula cha usiku japo kuwa nilikuwa naogopa sana, akaniangalia vizuri akaniona nipo tayari Kwa ajiri ya kunihondomola, Mwisho akajibu swali la mama 'Yupo vizuri ila Kwa Leo tupo vizuri kwahiyo hatutaweza kufanya chochote hadi Siku nyingine, niliposikia hivyo nilitamani nimrukie maana nilikuwa na hisia Kali sana ya tendo la ndoa ila nilishindwa kutokana na hofu.
Yule mzee akamuuliza mama
"Kwani ni nani yako huyu?
“Huyu ni mkwe wangu?,
"Sasa Tufanyeje na sisi Leo tushalizika tulikotoka, au kuna lingine?
"Ndio lingine lipo na ndio haswaa nililowaitia hapa
"Ni nini hicho ?
"Huyu mkwe wangu amenigundua leo kuwa mimi ni mchawi, nikaona ni vema niwaiteni wenzangu mnishauri nifanye nini?”
"Kwanini amegundua unakuwa mzembe sio?
"Sio hivyo sikujua kuwa.......
"Hukujua nini wewe tunakujua vizuri unaharaka sana, ndio matokeo yake hayaa.
Waliendeleaa kubishana pale wakati huo nilikuwa na wasiwasi sana, Baada ya kusikia kilichowafanya wale wachawi
waje pale, moyo wangu ulienda mbio nikajua kuwa siku ya mwisho wa maisha yangu imefika.
Baada ya mda wakatulia na kuendelea na maongezi wakiwa wanaelewana vizuri "sasa nawaombeni nyie wenzangu mnishauli nimfanye nini huyu mkwe wangu?
“kwahiyo Unataka tukuchagulie sisi cha kumfanya mkweo?” Mchawi mwingine aliuliza, nadhani alikuwa wa kike
kutokana na sauti yake kuwa nyororo
“Ndio, kwani kuomba ushauri kuna ubaya? Mimi nilijua kuwa mtapita hapa kunipitia nikaona ni vema niwaombe muingie humu ndani mnishauri.”
Mama mkwe akanywa dawa yake akanitemea Mimi na Mme wangu
“Sasa mbona unawatemea dawa kabla hatujakushauli ni ya nini?
Alidakia mwingine.
“Ahaa hii dawa ni ya kumfanya asizinduke sasa hivi mpaka tumalize mazungumzo yetu, wasijue mnashauri nini.”
“Kwani mkweo anaitwa nani?”
“Jina lake ni Johari, ni mkazi wa Ndanda
ndiyo kwao,” mama mkwe aliwajibu
“Je unataka huyu johari tumfanye
zezeta?”
“Hapana, Kwa jinsi mwanangu anavyompenda, atapata shida sana kwani hatamuacha, atakuwa
akimhudumia, sasa kwa kuwa huyu atakuwa hana akili, atateseka mwanangu sababu anampenda sana.
"Basi tumuue kabisa huyu?
"Kwa kweli Wazazi wake nawaogopa sana
“Sasa ni juu yako kuamua utamfanya nini mkweo, kwa sababu kila tunachokuambia unawakuwa na
huruma, sasa uamuzi ni wako.”
“Sawa niachieni nitajua la kufanya,” alisema mama mkwe.
Baada ya mda kidogo wale wachawi wakatoweka, bimkubwa akabaki na sisi, akachukua kitambaa cheupe akachovya dawa ya kutuzindua na yeye akatoweka kimazingara.
Japokuwa tulipàkwa dawa ya kutuzindua lakini hatukuweza kuamka kwa mda ule tuliendelea kulala fofofo na hatimaye kulikucha.
Nilishitukia asubuhi naitwa jina na mume wangu.
“Baby johari,
"Abeee mume wangu.
"Mbona leo umechelewa kuamka?”
amka basi,” alisema mume wangu huku akinitikisa mguu.
Moyo wangu ulienda mbio baada ya kutikiswa mguu nilidhani bado ni usiku na nilikuwa natikiswa na wale wachawi walioalikwa na mama mkwe.
Nilipofumbua macho nilimuona mume wangu akiwa amesimama nyuma ya miguu yangu huku akiwa amefunga taulo kiunoni na mdomoni alikuwa na
mswaki.
Nahisi ndiyo maana sikuweza kumtambua sauti wakati ananiita nikiwa usingizini kwa sababu mswaki ulimfanya asitoe sauti niliyoizoea.
Nilifikicha macho ili nimuone vizuri na kwa kuwa ndani ya chumba chetu cha kulala kuna saa niliiangalia na kuona kuwa ilikuwa saa 12.30 asubuhi na kweli muda huo mimi huwa nimeshaoga
na kuanza kazi ndogondogo hapa nyumbani kwangu.
Niliamka na kuketi kitandani lakini ghafla
nikakumbuka sakata la wachawi wa usiku na nikaanza kutokwa na machozi.
“Kwa nini unalia mke wangu?”
“Nilishindwa kujieleza kwa sababu nilifikiri sana na kujiambia kimoyomoyo kuwa nikisema, mama mkwe alikuja chumbani usiku akafanya yale
yasiyofaa kwa mume wangu na mimi hapa saizi nikimwambia huyu mwenzangu sijui kama atanielewa.
Nilitafakari sana juu ya hilo, hivyo nikashindwa pa kuanzia badala yake machozi yakawa yanatiririka
bila kujua niseme nini kwa mume wangu.
Nilikuwa na maswali ya kujiuliza kwamba je nikimwambia mume wangu kuwa mama yake ni mchawi atakubaliana nami? Nikajiuliza pia kuwa nikimfahamisha kuwa usiku alimvua bukta nami kunilaza chini ya zulia na akamfanyia mambo mabaya atanielewa?
Maswali hayo nilishindwa kujijibu nikabaki natokwa na machozi.
“Johari nieleze, umepatwa na nini?”
Mume wangu alizidi kudadisi.
“Mume wangu Naomba niache kwa muda, nitakuambia,” nilimjibu lakini hakuona kuwa ni haki abaki na maswali mengi kichwani mwake bila kujua nini kinaniliza.
Alinibembeleza nimueleze kinachoniliza lakini sikutaka kupasua jipu wakati ule hasa ikizingatiwa kuwa mama yake ambaye nimetokea kumchukia
ghafla baada ya kumbamba akiwa chumbani kwetu akifanya uchafu na mtoto wake wa kumzaa.
Nilimuambia mume wangu kuwa aende
kazini na akirudi jioni nitampa kisa kizito.
“Kisa kizito?
"Sitaweza kufanya kazi bila kuniambia,
Kama kuna jambo limekukwaza tafadhali sana niambie wala usiwe na mashaka juu yangu kwa sababu lako ni langu na langu ni lako.
"""Niambie umekwazwa na nini?”
“ Mume wangu tafadhali sana niamini,
kinachonikwaza wala hakihusiani na wewe ni matatizo yangu tu ya maisha haya tuliyonayo.”
“Matatizo ya maisha ndiyo yakufanye uhaiirishe kuniambia linalokukwaza sasa mpaka jioni nitakaporudi kazini? Hapana, utakuwa hunitendei haki.
” Baada ya kufikiria sana niliamua kumueleza mume wangu uongo ili tu kumfanya aende kazini.
“Sikiliza mume wangu.
Mimi huwa nasikia moyo ukinienda mbio sana nahisi nina tatizo la moyo na ndiyo maana nalia. Nawaza kama moyo wangu ni mkubwa si ndiyo mwisho wa maisha yangu na kukuacha peke yako mume wangu?
“Mke wangu kama hilo ndilo tatizo
ulipaswa kuniambia mapema, kwani umeanza kupata tatizo hilo lini?”
“Ni usiku. Nilijaribu kukuamsha lakini ukawa huamki, hapo ndipo nilipoanza kulia.”
“Nakuapia kwa jina la Mungu, sikujua kabisa kama uliniamsha. Kweli unaweza kuniamsha nikaacha kuamka tena usiku? Hakuna asiyejua kuwa usiku
una mambo. Tafadhali sana mke wangu nisamehe sikufanya kusudi.”
“Nimekusamehe mume wangu.”
“Kama hivyo ndivyo, basi ngoja nipige simu ofisini kuomba ruhusa kisha nikupeleke hospitali.”
“Unaona? Ndiyo maana nilikuwa sitaki kukueleza, nilijua utakatisha
safari yako ya kwenda ofisini. Nenda ofisini na mimi nitakwenda mwenyewe hospitali.”
“Itakuwa ni kichekesho. Mtu ambaye usiku hakulala kwa maumivu ya kitu nyeti, moyo, aende hospitali peke yake? Nitaonekana mpumbavu mbele ya jamii.
Jiandae twende sote hospitali.
Ilinibidi nijikaze tu sasa niwe kama naumwa kweli ili tu nisimwambie mume wangu kilichotokea usiku, Kabla ya kuondoka na kwenda kwenye tiba hospitalini niliingia bafuni
kuoga.
Wakati naingia nilimkuta mama mkwe akiwa amesimama kwenye mlango wa kuingilia bafuni. Alikuwa ananitazama wakati namkaribia pale aliposimama, Nilitegemea angenipisha ili nipite
badala yake akawa bado amesimama mlangoni huku mkono wake ukiwa umeshika upande mmoja wa mlango.
Nilisimama ili kuona kama atanipisha badala yake akanisogelea na kuanza kuninong’oneza.
“Ukimwambia mumeo kilichotokea usiku nakuua, umesikia?”
“ Kwa nini uniue?”
“Kwa sababu ile ni siri ya wachawi. Thubutu kumwambia uone kitakachokupata. Usione nipo hivi, nimechukia sana kuona
unafahamu siri yetu rejareja, jaribu kumuambia mumeo uone. Umesikia?
Sikumjibu neno badala yake nilikuwa namuangalia kwa kumshangaa mama
kwa kuendekeza uchawi.
Akaendelea kunitisha.
“Nilikuwa nakusikiliza kwa makini sana
ulipokuwa chumbani na mume wangu lakini nilifurahi kuona kuwa hukumwambia mumeo
ambaye ni mwanangu yale mambo ya usiku.
Endelea kuficha siri, Na ukitaka kujiunga na sisi nitakuruhusu sababu unajua siri yetu, alafu kumbuka usiku kuna raha sana si wewe mwenyewe umeona pale nilikuwa nakula raha na mume wako hata mwenyewe ajui,
"Sasa vipi nikufanyie mpango ujiunge au?
Itaendelea........
 
SEHEMU YA 3
Endeleaa..........
Endelea kuficha siri, Na ukitaka kujiunga na sisi nitakuruhusu sababu unajua siri yetu, alafu kumbuka usiku kuna raha sana si wewe mwenyewe umeona pale nilikuwa nakula raha na mume wako hata mwenyewe ajui,
"Sasa vipi nikufanyie mpango ujiunge au?
"Sijakuelewa mama uniunge na nini?
"Kwani wewe usiku umeona nini?
"Sijaona kitu.
"Heeee kumbe na wewe jeuri?
"Kumbe ulikuwa ujui.
"Sawa mama umeshinda wewe, ila utanikumbuka ngoja giza liingie.
"Usinitishe bwana leo ukija asubuhi nasema yote kwa mume wangu.
"Sawa nenda ukaoge uwahi hospital si unaumwa?
Akanipisha pale mlangoni akiwa na hasira sana, Nikaingia bafuni kuoga baada ya kumaliza nikatoka nikajiandaa Kwa ajili ya kwenda hospital na mume wangu. Bahati nzuri mume wangu akapigiwa simu kazini kwake Kwa ajili ya kikao cha dharula, nilishukuru mungu nikamwambia mume wangu wewe nenda kazini Mimi nitaenda hospital usiwe na wasiwasi akakubali.
Akatoka kwenda kazini na mimi nikaenda kwa rafiki yangu ili kupoteza ushahidi niliporudi nikapitia pharmacy nikanunua dawa Kwa ajili ya kumwonesha mume wangu kama ushaidi.
Hatimaye jioni ilifika mume wangu akarudi nyumbani nikamkaribisha baada ya kusalimia akaniuliza habari za hospital nikamjibu ni nzuri nikamwonesha dawa, aliingia ndani akasalimiana na bi mkubwa, wao wakiwa wanaendelea na maongezi nikaanda chakula cha jioni, nikaweka mezani nikawakaribiasha,
wakakaribia chakula tukapakua kabla ya kuanza kula bimkubwa akasema johari ombea chakula, nikwamwambia mama Leo ombea tu sijisikii vizurii, mama alinitolea jicho kisha akaombea chakula, Tukala chakula baada ya kumaliza nikawaaga nikatangulia kwenda kulala.
Baada ya mda kidogo kupita mume wangu naye akaingia chumbani kwetu kwa ajili ya kupumzika.
"Vipi mke wangu hospital wamesemaje?
"Wamesema nipo vizuri tu ila hivi vidonge nivya kupunguza tu pressure kidogo
"Sawa maana niliogopa sana moyo kuwa tena mkubwa duu
" usijari mume wangu, ile asubuhi nilihisi pia kichwa kinaniuma,,
“Pole sana, unajua wakati mwingine uwe unajikaza kulialia namna ile kama mwenzako ana presha anaweza kuanguka, ukampoteza.”
“Pole sana, sikuwa na nia ya kukushitua ni maumivu tu ya mwili yalinifanya niwe vile.”
Kimya kilipita huku wote tukiwa kitandani na baada ya dakika kama kumi na tano hivi nilimsikia mume wangu akikoroma.
Niliinuka kitandani hadi kwenye mlango na kuhakikisha kuwa umefungwa kwa ufunguo. Nilifanya hivyo ili kuzibiti wale waliokuja jana usiku bila taarifa.
Mimi nilichelewa sana kupata usingizi kutokana na kuwaza hili na lile kuhusiana na tabia mbaya ya uchawi ya mama mkwe.
Hata hivyo, usingizi hauna adabu, nilijishitukia nikiwa nimelala fofofo na baada ya hapo sikujua kilichoendelea hadi saa tisa usiku niliposhituka
baada ya kuona mtu kanishika kichwani.
Nilipofumbua macho nilimuona mama mkwe akiwa chumbani kwetu akiwa mbele yangu. Nilitamani kupiga yowe lakini nilishindwa. Ni kwamba mwili ulikuwa unataka kufanya hivyo lakini nikawa sina nguvu hata ile ya kujitikisa.
Nilipigwa na butwaa na kujiuliza maswali mengi bila majibu. ‘
"Huyu mama kaingiaje?
"Mbona mlango nilikuwa nimefunga kwa funguo?’
Yeye alikuwa akiniangalia huku akiwa ameweka kidole kimoja mdomoni ishara ya kuniambia kuwa nisiseme kitu nibaki nimetulia.
Lakini haraka sana nilifumba macho, akachukua usinga wake na kunipitisha kwenye mashavu yangu ili kuthibitisha kama nimelala kweli usingizi au nilikuwa macho.
Niliamua kujifanya nimelala usingizi ili nione alichotaka kufanya. Alipanda kitandani na akawa anatutenganisha mmoja baada ya mwingine. Kati ya mimi na mume wangu, alitutenganisha kwa kuweka nafasi katikati yetu kwa kuwa kitanda chetu kilikuwa kipana sana cha sita kwa sita.
Baadaye alipuliza tunguri yake na mara nje nikasikia upepo mkali ukivuma lakini ukaishia juu ya mabati ya nyumba yetu. Nilikosa amani kabisa.
Nilifumba macho kwa nguvu sana kwa sababu mama mkwe alikuwa anashuka kitandani kupitia kichwani kwetu.
Nilimsikia akiimba nyimbo ambazo sikujua maana yake kwa sababu hazikuwa nyimbo za Kiswahili
nadhani zilikuwa ni za kichawi.
Kwa kuwa chumbani kulikuwa na mwanga hafifu kutokana na ukweli kwamba nilikuwa nimezima hata ile taa ya mwanga mdogo, sikujua kuwa mama mkwe alikuja chumbani kwetu akiwa na kijimfuko.
Nilikiona hicho kijimfuko baada ya yeye kuchukua chini na kukiinua na akawa anachaguachagua ndani ya hicho kimfuko.
Alitoa kitu kirefu kama mkia wa ng'ombe nikajua Leo nimeisha, sikujua anataka kuufanyia nini na mwanga wa taa za nje ulinisaidia kuona kila alichokuwa akikifanya.
Nilihisi kuwa inawezekana ule siyo mkia wa ng'ombe bali ni kamba na hakuna ajabu kama ataamua kuitumia kuninyonga nao.
Nilikuwa na hofu hiyo kwa sababu aliahidi mchana mara mbili kuwa kama mambo yake ya uchawi nitamjulisha mume wangu ambaye ndiye mwanaye, ataniua na mwili wangu kuufanya nyama ambayo ataila!
Mbaya zaidi ni kwamba sikuwa na uwezo wa kupiga yowe au kutumia nguvu ili asinifunge shingoni na kitu kile kama mkia wa ng'ombe. Hata hivyo,ilikuwa tofauti na mawazo yangu, aliinua ule mkia na kunitandika nao makalioni pwaa.
Dakika hiyohiyo nikawa nakosa nguvu hata ya kufumbua macho. Niliyalazimisha kuona nikafanikiwa japokuwa yalikuwa yamefunguka kidogo sana kutokana na kichapo cha mkia ule.
. Niliamini kuwa ule mkia ulikuwa na nguvu ya kumdhoofisha mtu. Hata hivyo, mume wangu yeye hakumchapa hali iliyonipa wasiwasi zaidi na kujiuliza kwamba au kuna jambo la ziada juu ya bakora niliyochapwa?
Alichukua unga fulani ambao sikujua ni wa nini na kumnyunyizia mume wangu sehemu zake nyeti kisha kuvua bukta yake ambayo alikuwa akiitumia kulalia.
Aliniinua mimi na kuniweka chini ya zuria mlemle kwenye chumba chetu cha kulala.
Akaanza kufanya shughuli na mwanae kama kawaida akampaka dawa sehemu nyeti mwili waka ukasisimuka na hatimaye kusimamisha maumbile yake ya siri akamkaria juu kama kawaida yake akafanya shughuli iliyomleta, safari hii sikutaka kumkatisha nikamwacha mpaka alipotosheka,
Baadaya mume wangu kuvunja dafu akachukua Yale majimaji ya dafu LA mwanae akaweka kwenye kikopo, kisha akachukua ule uchafu ulio mmwagikia sehemu zake za siri pia akaweka kwenye kikopa kisha akasemea maneno ambayo sikuyaelewa kisha akakifinga na kukiweka katika mfuko aliokuja nao, baada ya kumaliza kazi yake akachukua kitambaa chekundu akachovya dawa na kumfuta mtoto wake sehemu za siri.
Nilikuwa natamani kupiga yowe lakini mdomo ulikuwa haufunguki na nilikuwa najaribu kujiinua pia nikawa nashindwa kufanya hivyo.
Baada ya sekunde kama kumi hivi nilimuona mama mkwe akichukua pembe kama la ng'ombe akapuliza, sikujua ni vitu gani akimaanisha kupuliza like pembe nilihisi alikuwa akifanya vile ili kutufanya mimi na mume wangu tuzidi kupoteza fahamu kwa sababu yeye alikuwa amefunika pua kwa kitambaa cheusi.
Baada ya dakika mbili mama mkwe, alikaa kitandani akawa anasema maneno ambayo sikuyaelewa maana yake kwa sababu hayakuwa ya Kiswahili wala lugha yao.
Nilishitukia chumba kinakuwa na mwanga kama vile amewasha taa ya umeme ulikuwa in mkali sana ule mwanga. Akili yangu ilikuwa sawasawa tatizo lilikuwa nguvu za kuzungumza nilikuwa sina.
Baada ya mwanga kuwepo mle chumbani nilishuhudia mlango ukifunguka na kundi la wachawi wakaingia chumbani, wote walikuwa wamevaa kaniki (nguo nyeusi).
Sikuweza kuwahesabu kutokana na woga. Lakini mara baada ya kuingia ndani ya chumba chetu walianza kucheza ngoma ya kichawi huku wakiimba polepole sana.
Walimbeba mume wangu na kumshusha kwenye kitanda, mama akamvalisha bukta yake wakatoka naye nje akiwa hajitambui. Sikujua huko nje walikwenda kumfanya nini lakini walichukua muda mrefu kurudi.
Wakati wachawi hao wanaondoka, mbele yao alikuwa ni mkwe wangu aliyekuwa na usinga, Alikuwa akiupunga mkia huo huku wachawi wenzake wakipiga manyanga, Kwa kuwa nilikuwa nimefumba macho na kuangalia kwa kuibia sana,
Nilijaribu kuyafungua lakini nikagundua kuwa mle ndani alikuwepo mchawi mmoja aliyeachwa amekaa kitandani.
Nilihisi kuwa yule alikaa kunilinda mimi ili kuhakikisha kuwa siamki na kukuta mume wangu hayupo kitandani kwetu.
Lakini mchawi yule siyo kwamba aliniacha nakula raha tu, hapana kuna manuizo alikuwa akiyafanya huku akifukiza uvumba kwenye chombo alichokuja nacho.
Baada ya yule mlinzi kuniangalia vizuri alitamani sana aweza kulala na Mimi , basi akanibeba akaniweka kitandani akanifunua nguo kwa kutumia usinga aliokuwa nao, kutokana na kutokuwa na nguvu ya kusema wala kuinua mkono nilibaki naangalia tu anachofanya.
Basi akanichungulia akachukua kitambaa chekundu akachovya dawa akanipaka sehemu za siri mwili wangu ukasisimka kwa hisia, akapanua miguu yangu akafanya alichokitaka, japokuwa alifanya bila ridhaa yangu Ila nilifurahia kile kitendo, kwani alivyonipaka tu ile dawa niliona raha sana, alinifanya haraka haraka ili asishikwa maana hakupewa ruhusa ya kufanya chochote juu yangu isipokuwa ulinzi.
Alimaliza mambo yake kama kawaida alinipaka dawa kwa kutumia kitambaa kisha akanishu tena pale chini, akabaki kuendelea kunilinda kama alivyopewa maagizi na mama mkwe.
Baada ya kuniweka chini ilibidi ahakikisha kwamba sishituki mpaka wale wenzeke warudi akaanza manuizo akachukua unga katika tunguri yake akawa anaunyunyizia pale kitandani moshi mwingi sana ulikuwa unatoka pale kitandani,
Ajabu ni kuwa moshi ulikuwa unatoka pale kitandani shuka zilikuwa haziungui lakini moshi ulikuwa ukifuka chumba kizima., Nilielewa kuwa alikuwa anakifukiza kwa ajili ya mimi niliyekuwepo kwa sababu wakati anafanya hivyo alikuwa akilitaja jina langu mara kwa mara
kwamba nisizinduke.
Alikuwa akiinama mara kwa mara na kunikagua kuona kama nilikuwa nina uwezo wa kufumbua macho au la pale nipolala, kila alipoinama kuchungulia kama nipo macho nilikuwa nafumba macho. Kuna wakati alichukua mkono wake mmoja na mwingine akashika sura yangu kisha kufungua jicho langu moja, nami nilijilegeza kama nimelala kweli,
“Duh jicho jeupeee kama aliyekufa,” alisema polepole, nami sikumuuliza alikuwa na maana gani kusema jicho jeupe kama nimekufa,
Baadaye alichukua mafuta ambayo sijui ni ya nini na kunipaka kwenye paji la uso huku akisema maneno ambayo sikuyaelewa maana yake. Alijaribu kuinua mguu mmoja akauachia ukapiga juu ya zulia na akafanya hivyo kwa mguu wa pili.
Nilijifanya sijui chochote kwani nilijua kama angegundua nilikuwa namuona angewaambia wenzake kisha ningeuawa na kuliwa nyama yangu kama mama mkwe alivyonitishia zaidi ya mara mbili nikiwa na akili timamu. Mchawi yule baadaye aliamua kujilaza kitandani kwetu huku akiendelea kuimba wimbo wake wa kichawichawi lakini akaacha kufukiza ule moshi.
Je, kilifuatia nini?
 
SEHEMU YA 4
Endeleaa.............
Nilijifanya sijui chochote kwani nilijua kama angegundua nilikuwa namuona angewaambia wenzake kisha ningeuawa na kuliwa nyama yangu kama mama mkwe alivyonitishia zaidi ya mara mbili nikiwa na akili timamu. Mchawi yule baadaye aliamua kujilaza kitandani kwetu huku akiendelea kuimba wimbo wake wa kichawichawi lakini akaacha kufukiza ule moshi.
Baada ya dakika kama kumi hivi mimi nikiwa bado chini nimelala kwenye zulia, mchawi yule nilimsikia akikoroma.
Nilishangaa sana mchawi kuja kwenye chumba cha watu na kuanza kukoroma kama vile alikuwa kwake.
Mawazo yangu yakaenda kwa mume wangu kwamba amepelekwa wapi?, Nilijaribu kuinuka pale nilipokuwa nimelazwa, nikashindwa. Na yule mchawi aliyeachwa anilinde akawa anaendelea kukoroma juu ya kitanda chetu.
Dakika kumi baadaye nilisikia kishindo nje ya nyumba. Nilijua kuwa lile kundi la wachawi walioondoka na mama mkwe wangu lilikuwa linarudi. Moyo ulinienda mbio mithili ya mtu aliyemaliza kukimbia mbio fupi za mita mia moja.
Niliona mlango wa chumba chetu ukifunguliwa. Niliminya macho kujifanya nimelala fofofo. Lakini niliyaachia kidogo ili kuona kama mume wangu amerudishwa au amekwenda kuliwa nyama na wachawi wale. Nilifarijika baada ya kuona kundi lile la watu hao wabaya wakiwa wamembeba kama walivyokuwa wameondoka naye.
Walipomfikisha kitandani walishangaa kumkuta mwenzao waliyemuacha akikoroma.
"Huyu mjinga kweli kweli. Tulimuacha amlinde huyu mwanamke yeye akaamua kulala," alisema mama mkwe wangu.
"Muamshe. Muamshe kwa kumchapa na mkia,
" aliamuru mtu ambaye sikumjua kwa jina.
Mchawi mwingine alichukua mkia na kumchapa yule mchawi aliyekuwa akikoroma kwenye kitanda chetu. Hakushituka na wote mle ndani wakashituka.
"Huyu inawezekana alikuwa akimfukizia moshi huyu mwanamke ili asizinduke na matokeo yake naye fukizo limemkolea."
"Ni kweli kabisa. Lete ugoro," alisema yule kiongozi wa wachawi. Nilisikia kifuniko kikifunguliwa na baadaye alimnusishwa yule mchawi aliyekuwa akikoroma.
"Chaa, chaa, chaa," alipiga chafya.
Baadaye aliketi kitandani na kuulizwa kulikoni umelala kitandani wakati uliachiwa kazi ya kumlinda!
"Huyu mwanamke alitaka kuzinduka. Nikaamua kuchukua dawa ya mafukizo nikawa namfukizia moshi. Nilisahahu kujifunga kitambaa chenye dawa ya kuzuia mimi kuleweshwa, nikalewa.
Ndivyo ilivyokuwa," alijitetea.
"Unauhakika kama huyu mwanamke hajakuona?"
"Ndio, nilipoona anajitingisha tu, nikamuwahi na mafukizo."
"Umefanya kazi nzuri," alisifiwa.
Baadaye walimtoa pale kitandani na kumlaza mume wangu. Baada ya hapo walininyanyua pale chini ya zulia na kunilaza kando ya mume wangu.
Sikuthubutu kuonesha kuwa najitambua badala yake nilijitahidi kujilegeza kana kwamba nilipoteza fahamu kabisa.
"Isije ikawa ule moshi wa mafukizo ulizidi. Tunaweza kumuacha akapata fahamu kesho saa tisa mchana, tutakuwa tumefanya kitu kibaya sana," mmoja wa wachawi alishauri.
"Yule mkubwa wao akasema ni vema na yeye anusishwe ugoro, na kazi hiyo akapewa mama mkwe wangu kwa kuwa analala nyumba hiyo hiyo tofauti ni vyumba tu Walikubaliana.
Kilifunguliwa kichupa chenye ugoro na kupewa mama mkwe.
"Sisi tunatoka, Utamnusisha mkweo baadaye na akianza kupiga chafya tu, toka atazinduka kivyake vyake," alisema yule mtu ambaye mimi namuita ni kiongozi wa wachawi.
"Sawa," akaitikia mama mkwe.
Giza nene lilitanda wale wachawi wakapotea na baadaye mwanga ukaja kwa mbali na nikamuona mama mkwe akininusisha ule ugoro. Nilitamani nikatae lakini nguvu zilikuwa zimeniishia kabisa.
Alininusisha nikaanza kupiga chafya, haraka sana mama mkwe akapotea kimazingala na kuelekea chumbani kwake. Nilijaribu kuinua mkono, ukainuka, nikajaribu kuketi pale kitandani, nikafanikiwa.
Niligeuza shingo kumuangalia mume wangu na hasa nilimuangalia kifuani kama bado alipumua au walimleta pale akiwa maiti. Niligundua kuwa bado anapumua kwa sababu kifua chake kilikuwa kikitanuka na kushuka alipokuwa anavuta hewa.
Mume wangu, mume wangu," nilimuita lakini hakuitika.
Niliwaza kwamba nimuendee mama mkwe nikamshurutishe aje amzindue?, Nilipata akili haraka sana kwamba nikifanya hivyo mama mkwe atagundua kuwa nilikuwa naona kila kitu ambacho walikuwa wakikifanya na wachawi wenzake.
Nikapata hakili ya kumnusisha ugoro, basis nikaokote ule ugoro ulikuwa umeanguka pale kitandani baada ya Mimi kunusishwa, nikafanikiwa kupata kidogo nikamnusisha mume wangu, akapiga chafya na kushituka.
"Vipi mke wangu ?
" Safi vipi wewe?
"Mbona nasikia alafu ya ugoro mke wangu?
" Ndio, kwani kuna tatizo Mme wangu?
"Hapana umepata wapi usiku huu ugoro na wa nini?
"Subili kwanza nikakuletee maji,
Nilifungua mlango na kwenda jikoni kwenye friji, nilichukua maji na kurudi chumbani kwetu, wakati narudi kutoka jikoni nilimkuta mama mkwe kasimama karibu na mlango wa chumba chetu, tukabaki tuna analiana nikaingia moja kwa moja chumbani bila kumsemesha.
Nilipoingia chumbani, nilimuinua mume wangu na kumketisha, kisha nikaanza kumnywesha yale maji. Alikunywa kana kwamba alikuwa ametembea kwenye jua kali sana na alikuwa na kiu. Nilichukua shuka na kumfutafuta pua ambayo ilikuwa na chembechembe za ugoro. Alipiga chafya tena.
"Najisikia mchovu sana, kwani nilikuwa nafanya nini mpaka ukaamuakunivutisha ugoro?" aliuliza.
"Nimekuona unakosa nguvu, kila nikikuita huitiki , nikahisi kuwa inawezekana una sukari kidogo mwilini," nilimdanganya.
"Sawa, lakini wewe dawa ya kisukari alikuelekeza nani kuwa ni ugoro mke wangu?
Kabla sijajibu swali hilo moyo ulipiga paa kwa sababu niliona nikimtajia sababu na aliyeleta ugoro kuwa ni mama yake na wachawi wenzake itakuwa balaa. Nilifikiri sana, lakini sikupata jibu la haraka.
"Mbona hunijibu mke wangu?"
Nilijua kuwa mama mkwe kutokana na tabia yake ya kubana' nyuma ya mlango wetu alikuwa anasikiliza mazungumzo yetu, hivyo nilipaza sauti ili asikie kule alipo:
"Ugoro nilienda kumuomba mama mkwe ambaye alinipa nikunusishe, alisema mtu akikosa nguvu akinusa ugoro anapiga chafya, kitendo ambacho kinachangamsha mapafu na kuyafanya yafanye kazi sawasawa, hivyo mtu kupata nguvu, "nilisema huku nikionesha kutokuwa na wasiwasi na maelezo yangu.
"Hebu nenda kaniletee maziwa yangu kwenye friji, au umekunywa?"
"Hapana, bado yapo."
"Hebu nenda kaniletee."
"Sawa."
Ile nafungua mlango tu, nikakutana na mama mkwe akiwa pembeni ya mlango. Akanong'ona, "Gonga tano. "Alisema neno hilo huku akitoa tabasamu ililomuonesha mapengo yake ya meno ya mbele. Nilitamani nicheke na hasira zote zilinitoka kutokana na mama mkwe huyo kunipa mkono wake na kunitaka nigonge tano kufurahishwa na nilivyomdanganya mume wangu.
Nilienda kwenye friji na kuchukua maziwa fresh yaliyokuwa yamekuwa baridi sana. Nilidhani ameondoka pale karibu na mlango wa chumbani kwetu. Ajabu ni kwamba bado alikuwa amesimama palepale huku akitabasamu utafikiri alikuwa anasubili kitu cha maana.
Wakati hayo yanafanyika kulikuwa karibu na asubuhi, Kulikuwa kumepambazuka na majogoo yalikuwa yanawika kuashiria kuwa jua lipo mbioni kuchomoza. Niliinuka na kwenda bafuni kuoga na nilipotoka huko nilienda moja kwa moja kwenye meza ya chakula kumuandalia kifungua kinywa mume wangu kabla hajaenda kazini.
Naye alienda kuoga na akaingia chumbani kwetu. Mama mkwe hakuwa ameamka bila shaka kutokana na kazi nyingi za kichawi za usiku alizokuwa amezifanya.
Mume wangu alifika mezani na kukuta chai ipo tayari pamoja na mayai ya kuchemsha mawili na kipande cha mkate cha brown ambao anapenda kula.
Wakati ana kunywa chai nikakaa karibu yake nikiwa napaka blue band mkate
"Make wangu Leo nimeamka na uchovu sana.
"kwani unajisikiaje?"
"Ni kama vile usiku kucha nilikuwa nalima au kufanya mazoezi ya nguvu. Mwili wote unauma, sijui hii hali imenitokea kwa sababu gani?"
"Lakini..........
"Lakini nini? Bila shaka homa ya malaria inakunyemelea mwanangu," alidakia mama mkwe huku akinitupia jichoakiwa anatoka chumbani kwake.
"Mama mbona Dozi nimemaliza wiki moja tu iliyopita?"
"Mwanangu, malaria huwa inajirudia na ndiyo maana madaktari hushauri kuwa ukimaliza dozi, rudi baada ya wiki moja kucheki tena damu."
"Mama yaani Mwili wote unauma, ni lazima itakuwa ni malaria," alisisitiza mume wangu.
Baada ya kumaliza kupata kifungua kinywa mume wangu aliomba apewe maji ambayo alisema atakunywa njiani anapoelekea kazini.
"Alichukua briefcase yake na kwenda kwenye banda la gari akifuatana na mama yake,
Muda mchache baadaye nikasikia mungurumo wa gari, nikaenda dirishani na kumuona akitoka kwa mwendo wa pole baada ya kufunguliwa geti na mtumishi wetu wa kiume.
Mama mkwe alipoona mume wangu ameondoka alinijia nilipokuwa nimesimama huku akiwa ameshika mikono yake kiunoni, akaja karibu kabisa na uso wangu.
"Pale nilikukatiza kwa hasira. Ulitaka kumwambia mambo yangu ya kichawi ya usiku mumeo siyo?" alifoka mama mkwe huku akiwa na ndita usoni.
"Hapana mama, mimi nilitaka nimshauri kwenda kupima damu hospitali."
"Muongo mkubwa wewe, nakuambia kwa mara nyingine, ukitoa siri yangu nakufanya supu siku hiyohiyo wala sikutishi na kama unaona natania jaribu."
"Mama kwani ningetaka kumwambia mume wangu ningeshindwa? Sitaki tabia yako ya kunifokea kila siku kama mtoto mdogo," nami nilijitutumua kumpima kisha nilimeza mate na kukaa kimyaa baada ya kuona amepandisha hasira japokuwa sikuona kosa langu lakini nilijua kuwa alikuwa akijihami ili siri yake nisiitoe kwa mume wangu.
Tuliachana, yeye akaenda chumbani kwake nami nikaenda jikoni kufanya shughuli zangu za mapishi nikisaidiwa na msichana wa kazi.
"Mama kwani vipi? Mbona naona siku hizi hamuelewani na bibi?"
"Shiiiiiiiii," nilimuambia huku nikiwa nimeweka vidole vyangu viwili kwenye mdomo wangu.
Tuliendelea na mapishi a stories za kawaida.
Hatimaye mchana ukapita jioni saa kumi alikuja jirani yangu, mama Kibela na kutokana na mvua badala ya kukaa kwenye kibaraza tuliamua kukaa sebuleni kuzungumza.
"Johari vipi ?
" Safi niambia shoga ake?
"Safi, nakuona inazidi kunenepeana.
" Ninenepe kwalipi mwenzangu?
"Tuachane na hayo bwana Nina kaumbea shoga yangu?
" Wewe tena hebu nipashe nipunguze mawazo.
"Nimekuja kukuambia jambo,
"Jambo gani?"
"Ni siri na nakuambia kwa sababu nakupenda.
" Niambia mbona unanitisha tena
"Unajua hapa kwako kuna wachawi wanakuja kila siku usiku?"
Baada ya swali hilo moyo ulinipiga paa' na mara moja mama mkwe akatoka chumbani kwake na kujifanya kama anatoka nje kwenye kibaraza.
Nilijua kuwa naye moyo wake umempasuka kama ulivyopasuka wangu kwani alijua kuwa jambo lile nalijua mimi tu.
"Ehee, umejuaje kuwa kuna wachawi wanakuja hapa kwangu?"
"Sikiliza, Msiishi kitoto, hapa kwenu nimekuwa nikishuhudia wachawi wakija usiku na mara nyingine wanawachukua na kutokomea nanyi."
"Kweli mama Kibela?"
"Niongope jambo zito kama hilo? Ninachokisema ni kweli na niamini. Huwa wanatoka mbali kwa sababu huwa wanakuja na nyungo, ina maana wanasafiri na wakifika mmoja wenu anachukuliwa na kuwekwa katika chombo kisha huruka naye na kutoweka."
Wakati anasema hayo mama mkwe alikuwa nje, macho yetu yaligongana akawa amekunja uso kwa hasira.
Itaendeleaaa......
 
BI MKUBWA
( sehemu ya 5 )
Endeleaa.............
"Ehee, umejuaje kuwa kuna wachawi wanakuja hapa kwangu?"
"Sikiliza, Msiishi kitoto, hapa kwenu nimekuwa nikishuhudia wachawi wakija usiku na mara nyingine wanawachukua na kutokomea nanyi."
"Kweli mama Kibela?"
"Niongope jambo zito kama hilo? Ninachokisema ni kweli na niamini. Huwa wanatoka mbali kwa sababu huwa wanakuja na nyungo, ina maana wanasafiri na wakifika mmoja wenu anachukuliwa na kuwekwa katika chombo kisha huruka naye na kutoweka."
Wakati anasema hayo mama mkwe alikuwa nje, macho yetu yaligongana akawa amekunja uso kwa hasira, Ni wazi kwamba kutokana na kukunja uso alikuwa anasikia yale aliyokuwa akinisimulia jirani yangu.
Alinieleza mengi sana na akasema yeye huwa
anawaona wachawi kutokana na dawa alizopewa
na babu yake. Sikutaka kumdadisi kutokana na mama mkwe kuniangalia sana,
Nilijaribu kutumbukiza maneno mengine ili
tuachane na ‘mada hiyo ya wachawi' lakini mwenzangu akawa anaendelea kusimulia.
“wewe Johar wewe ninayokuambia siyo masihara
maana naona kama unadharau ninachoongea? "Sio hivyo mama kibela
" Kumbe nini Mimi nakwambia wewe unadharau unaongea yakwako.
"Basis endelea nakusikiliza.
"Unajua nini Johari? wanapofika huwa naona wanatoka na mtu humu ndani sasa wewe nakwambia unadhalau!!
" Sijadharau nimesema endelea nakusikiliza.
"Basis wakija wanambeba mtu mmoja wenu humu ndani Kama Siyo wewe basi ni mumeo au
mama mkwe wako.
"Sasa wakimbeba wanampeleka wapi?
" Hapo ndio pagumu kujua, maana wanaondoka kwa kupaa na nyungo, aijajua wanawapeleka wapi?
“Sawa mama kibela, Habari hiyo naomba tuiache, inanitisha,” nilisema huku nikimtupia mama mkwe jicho kiwogawoga.
“Sawa tuyaache. Lakini akifika mumeo mwambie na kama atataka ushauri zaidi aje anione niwape dawa mjikinge, sawa shoga yangu?
“Sawa,” niliitikia, mama mkwe akasonya.
“Heeeee, mbona mama mkwe wako kasonya?” aliuliza kwa sauti ya chini.
“Achana naye, toka asubuhi ana mambo anadai
hatujamtimizia,
“Mnafanya vibaya. Wazee kama hawa hamtakiwi
kuwasononesha kwa kuwanyima wanachokitaka,
mtimizieni, kwani alitaka nini?”
“Wazee huwajui? Alikuwa akitaka apelekwe kwao
lakini mwanaye amemkatalia. Ni hilo tu,” nilizidi
kumdanyanga lakini yote hayo tulikuwa tukiyasemapolepole kwa kunong'ona.
Kitendo cha kunong’onezana kilimshitua mama
mkwe akaamua kuingia sebuleni na kukaa katika
sofa lililokuwa kwenye kona. Sikupenda kabisa macho yetu kugongana licha ya kuniangalia kwa macho ya kutisha.
Baada ya mama kuingia tulibadilisha mada na kuanza kuongelea mambo ya saloons.
Tulianza
"Nataka na Mimi unipeleke saloon shoga angu?
“Unamuogopa mama mkwe, wewe sema tu kwa
sauti Unataka nikupeleke saloon.?”
“Mama nilitaka nimchukue mkweo nimpeleke saloon?
(( Mama mkwe alimuangalia kwa jicho baya na
hakujibu chochote, Mimi nilijua kuwa mama amegundua tunamfanyia mchezo, na ameshajua tulichokuwa tunaongelea, mama kibela hakugundua hill. ))
“Mh, mwaya, naona mama mkwe wako hataki
utoke,” alisema jirani yangu huku akimuangalia
mama.
" Usijali mama kibena, nitaongea na mama atakubali tu kwavsasa hayupo sawa.
"Sawa Johari.
" Mama kibela, tumeongea sijakuuliza nikupe soda gani?
"Maji tu yanatosha.
" Hapana bwana usifanye hivyo,
"Nipe kama una fanta passion
" Sawa, hapo sawa sio maji unakuwa kama mgeni.
Niliangalia kwenye friji nikaiona, nikachukua na kumpa mama kibena soda aliyohitaji,
"Ohoooo..sante shoga yangu,
" Ila ni yabaridi sana sijui utaweza kunywa?
"Hats usijari ndio yenyewe hii.
Lakini tusikae humu shoga bora tukae hapo nje
kwenye kibaraza, Tuongee huku tukipunga upepo,”
alisema yule shoga yangu, hivyo kikao tukakihamisha na kwenda kukaa nje.
Kwa mara nyingine nilimtupia jicho mama mkwe,
akawa anatikisa kichwa, nilijua kuwa alikuwa
anadhani tuliamua kumkimbia baada ya yeye kukaa kwenye sofa pale sebuleni.
Mazungumzo yetu pale nje yalikuwa ni kuhusu
saluni na mavazi huku kila mmoja akimsifu fundi
wake wa nguo, Mazungumzo hayo nadhani yalimfurahisha mama mkwe kwa sababu ile stori ya wachawi tuliiacha kabisa.
Baada ya mazungumzo marefu shoga yangu huyo
aliaga akasema anaenda kwake kuandaa chakula cha jioni.
" Johari mda umeenda sasa ngoja nikapike.
"Mbona mapema hivyo?
“Si unajua mimi sina msichana wa kazi?”
“Haya shoga. Nitakupigia simu kesho kukueleza
saa ngapi unipeleke huko saloon.”
“Sawa Usikose kunijulisha.
“Sawa usijali wewe tena”
Wakati namtoa kwenye geti mume wangu naye
akawa anaingia na gari lake,
“Shemeji vipi, mimi naingia na wewe unatoka, au
unanikimbia?”
" Hapana shemeji mda umeenda nawahi kupika sasa?
"Ila Siku moja moja tuwe tunakaa majirani tunapiga stories, hata leo sio mbaya tukikaa dakika hata 20 tuongee kidogo au sio?
"Sawa shemeji nitakaa kwa ajili yako.
" Hapa sasa nimefurahi
Moyo ulinipiga paaaaaaa, nikawa najiuliza ni nini mume wangu anataka kuzungumza na shoga yangu lakini sikupata jibu. Nilijiuliza sana kwa sababu hakuwahi kuniambia kama anawahitaji hawa majirani zetu hata siku moja, nilibaki nikiwa nimepigwa butwaa.
Mama mkwe naye alikuwa mtu wa wasiwasi baada ya kuona shoga yangu anarudi kwenye kisebule cha nje. Akawa anadhani kuwa inawezekana anataka kumueleza habari za wachawi kutuchezea usiku.
Haraka sana mama mkwe alichukuwa kigoda na kukiweka kwenye kona ya kisebule cha nje, akaketi. Mimi na jirani yangu tulikaa kwenye viti vya plastiki ambavyo huwa vinakaa pale sebuleni kila siku.
Mume wangu alienda kuegesha gari kwenye
banda lake, aliludi kutoka parking nilimuelekeza kuwa chakula kipo kwenye ‘hotpoti’ juu ya meza ya chakula na mchana wa siku hiyo nilikuwa
nimeandalia pilau.
Baada ya kumwambia hivyo alitoka mbio kuingia
ndani maana alikuwa anapenda sana pilau
ndicho chakula anachokipenda sana. Baada ya sekunde kadhaa mume wangu alifika pale
kwenye kisebule akiwa na sahani ya chakula. Kulikuwa na kiti ambacho hakikuwa na mtu, hivyo aliketi.
“Ndiyo jirani, kaka hajambo?”
“Hajambo, vipi leo nakuona kama vile umewahi
sana.”
“Ahhh leo nimeamka naumwa mwili wote kama vile nilikuwa nafanyishwa mazoezi.”
“Umepima, isije ikawa malaria?”
“Nimepima, Mimi nilikuwa na wasiwasi sana, Unajuasiku hizi ukijisikia homa yale mawazo ya malaria huna, unafikiria homa ya dengue.”
Tulicheka wote watatu isipokuwa mama mkwe
aliyekuwa ameketi kwenye kigoda akiwa bize
kusuka mkeka wake.
“Unajua huu ugonjwa wa dengue ni gumzo sasa
nchi nzima,Tumuombe Mungu atuepushie mbali.
"Sasa ulipopimwa wamegundua nini shemeji?
“Hawajaona ugonjwa wowote wakasema labda ni
uchovu wa kazi.
“Hapana shemeji yangu, Mimi nilikuja hapa
kumjulisha mkeo jambo zito kidogo.”
“Jambo zito, umenishitua, kuhusu nini tena
shemeji?”
“Nimemwambia kuwa nyinyi katika nyumba yenu
mnaishi kitoto,
" Kitoto vipi shemeji mbona matusi hayo?
"kwa sababu huwa kuna wachawi
wanakuja usiku na kuondoka na mtu mara kwa
mara hapa kwenu.”
“Unayoyasema shemeji ni kweli au unaota au
unanitania?
“Shemeji tangu lini nawatanieni?
" Ni kweli hujawahi kunitania.
"Nasema hayo nipo siliasi kwa sababu nawapenda.”
“Wewe umejuaje au umeonaje?”
“Sikufichi shemeji mimi nyumbani kwetu baba
yangu ni fundi sana wa mambo ya kishirikina, yeye harogi lakini ana uwezo wa kukuzindika na kukufanya uweze kuona wachawi.”
“Kweli shemeji?”
“Kwa nini niseme uongo?, kweli na ndiyo maana
mimi huwa naona kuna kitu kinachofanyika hapa
kwako. Tushukuru kwamba hukuweka ukuta na
badala yake umezungushia seny’enge, hivyo kuwa
rahisi kwangu kuona kinachofanyika hapa.”
“Dahh kama ni hivyo tupo hatarini, Mumeo
anayajua haya?”
“Yeye pia kazindikwa anaona wachawi,
“Sasa mbona hajaniambia mambo ya hatari kama
hayo?”
“Aliniambia kazi hiyo niifanye mimi kwa
kumwambia mkeo maana yeye na wewe wote muda wenu wa kurudi kazini huwa mbaya.”
Wakati shoga yangu akimuelezea mume wangu
mambo hayo ya kichawi, mama alikuwa akinikodolea macho huku akiweka vidole vyake mdomoni, niligundua kuwa ananikataza kusema chochote kuhusiana na jambo hilo, Anaelewa mimi pia najua kuwa wachawi huwa
wanakuja nyumbani kweetu na yeye ndiye mwenyeji wao.
Anajua pia kuwa usiku uliopita ambao mume
wangu analalamika kuwa anaugua mwili, yeye
mama mkwe aliongoza wachawi wenzake
kumchukua na kumpeleka wanakojua wao nami
niliona.
“Sasa jirani kwanza nakushukuru kwa kutupa
habari hiyo mbaya.
"Usijali shemeji sisi no kama ndugu,
"Lakini haitoshi kutuambia tu,
" Sasa shemeji una maanisha nini?
"Namaanisha tueleze sasa tufanye nini kuondokana na hali hiyo?”
“Kwani shemeji sikuwaambia?
" Kwamba..?
"Kwamba baba yangu ni mtaalam wa kuzuia ushenzi huo mnaofanyiwa.”
“Ina maana unaweza kutupeleka kwa baba yako ili akatuzindike na sisi pamoja na nyumba yetu?”
Itaendeleaaa.....
 
Ongezaaa kama zipo za kutoshaaaa mbona unarashia rashiaaa kamoja kamoja
 
BI MKUBWA
( sehemu ya 6 )

Endeleaa..............

“Sasa jirani kwanza nakushukuru kwa kutupa habari hiyo mbaya.
"Usijali shemeji sisi ni kama ndugu,
"Lakini haitoshi kutuambia tu,
" Sasa shemeji una maanisha nini?
"Namaanisha tueleze sasa tufanye nini kuondokana na hali hiyo?”
“Kwani shemeji sikuwaambia?
" Kwamba..?
"Kwamba baba yangu ni mtaalam wa kuzuia ushenzi huo mnaofanyiwa.”
“Ina maana unaweza kutupeleka kwa baba yako ili akatuzindike na sisi pamoja na nyumba yetu?”
"Ndio,
"Lini utatupeleka sawa
"Nyie tu mda wenu shemeji
"Sawa, tutapanga Siku tuende
"Sawa.

Baada ya mda mama kibela alituaga, Nikampa support ya kumtoa pale nyumbani, kwani mda ulikuwa umeenda sana.

Nilipoludi nilimkuta mume wagu akiwa na mawazo sana kutokana na Maelezo ya yule jirani yetu yalimchanganya mume wangu lakini mimi sikuwa na presha kwa sababu nilikuwa najua zaidi ya maelezo yaliyotolewa.

Tofauti ni kwamba mimi nilikuwa najua kuwa aliyekuwa akichukuliwa na kupelekwa kusikojulikana ni mume wangu, Nilifarijika kwa sababu mama mkwe sasa ameshuhudia kuwa aliyesimulia au kutoa siri ya tukio hilo la usiku siyo mimi, hivyo mimi kumuona
yule jirani yangu kuwa ni mwokozi wa roho yangu.

Baada ya mda msichanawa Nazi alikuwa ameadaa chakula, akaweka mezani tukala, Sikh hiyo mama mkwe likuwa na asira sana alikula haraka na kwenda chumbani kwake.

Usiku wa siku hiyo ulikuwa wa balaa kubwa kama ilivyo ada wachawi walifika nyumbani kwetu saa Saba za usiku wakiwa katika kikundi na kumchukua mume wangu, Siku hiyo bi mkubwa hakutaka hata kulala na mume wangu.
Ni mama mkwe alikuwa akisimamia zoezi hilo. Mimi kama ilivyokuwa mwanzo nilijifanya nimelala fofofo.
Lakini baada ya majadiliano kati ya kundi lile la wachawi na mama mkwe iliamriwa kuwa asichukuliwe mume wangu na badala yake nichukuliwe mimi.

Niliogopa sana na kuamini kuwa sasa muda wangu wa kuishi hapa duniani umekwisha. Niliamini hivyo kwa sababu nilikuwa sijui chochote kilichokuwa kimeamriwa nje ya nyumba baada ya
kuondoka na mume wangu kwani baada ya dakika chache niliuona msafara ukirejea chumbani huku ukiwa umembeba mume wangu.

Nilijua kuwa kilichokuwa kimefanyika ni
kubadilishana mimi na mume wangu lakini sikujua kabisa sababu ya wachawi wale kufanya hivyo na hicho ndicho kilichokuwa kikinitisha zaidi.

“Kwani huyu unataka tumchukue unataka tukamfanye nini?”
“Nataka naye tukamfundishe uchawi.”
“Tukamfundishe uchawi, kwani huyu mkweo ni ndugu yenu?”
“Ni makubaliano yetu tuliongea mchana.
"Unauhakika na unachosema?
"Ndio alikubali kujiunga na sisi.
"Sawa sasa nguo za kumvalisha wakatiwa kiapo umebeba?
"Ndio zilisha andaliwa.
"Sawa basi mvalishe.

Niliposikia mazungumzo hayo niliishi kabisa nguvu, ningekuwa na uwezo ningeongea na kumkatish kuwa ni muongo, ila kutokana na zile dawa tulizowekewa sikuweza hata kunyanyua mdomo.

Mama mkwe alisha andaa nguo kwa ajili yangu akaleta mbele ya wachawi wenzake, wakazipigia zile nguo ramli za hatari, kiongozi wao akasema sasa nguo zake zipo tayari kuvalishwa.

Mama mkwe alichukua tena dawa yake akanywa akatutemea , akachukua mkia aliokuwa nao akanizingushia kichwani, akamwita mwanaume moja.
"Wewe mvue nguo huyu mwanamke.
"Sawa kiongozi.
Akanivua nguo zote hakubakisha hata ya ndani,
"Kiongozi tayari,
"Kazi yako bado,
"IPI hiyo kiongozi?
"Mpake mafuta mwii mzima ,

Akachukua mafuta akaanza kunipaka mwili mzima hadi kwenye ukucha, wakati hayo yote yanaendelea bado nipo uchi.
"Kiongpzi hapa naona tayari
"Sawa kaa pembeni

Wewe mwanamke njoo, akaitwa mchawi mwingine, akasogea karibu na mimi
"Wewe kazi yako unaijua
"Hapana mkuu
"Mchore afanane na sisi
"Sawa mkuu

Akachukua rangi zao wakanipaka kama ipasavyo hatimaye na yeye akamaliza kazi yake
"Kiongozi nishamaliza kazi yangu tayari
"Sawa kaa pembeni
"Sawa mvalishe nguo mkweo.

Mama mkwe alinivalisha nguo, hatimaye zoezi lao la kwanza likakamilika, na tukawa tumefanana aswaa, mama mkwe alifurahi sana kwa kumaliza zoezi la kwanza.

Baada ya kumaliza zoezi hill LA kwanza kiongozi wao ilibidi amhoji mama mkwe ili wasije kujiingiza kweenye matatizo.

"Narudia tena kukuuliza unauhakika mkweo alilizia swla hili?
Mama mkwe alikaa kimya kwa muda bila shaka alikuwa akitafakari nini cha kujibu. Baada ya sekunde akatoa jibu.
"Ndio alikubali
"Mbona kama unamashaka sana na jibu lako?
"Hapana kiongozi.
“Hivi unajua kuna koo hazitaki kushiriki mambo ya ulozi?
“Najua.”
“Kama unajua kwa nini unampangia mwanao jambo zito kama hili?”
"Hapana kiongozi alilizia kweli
"Sawa kwakua mkwe ni wako tuakukamilishia swala lako.

Baada ya mama mkwe kuhojiwa, kisha nikajikuta nikiinuliwa juu kwa juu kama maiti huku nikiwa nimefunikwa
na nguo nyeusi. Baada ya kutoka nje ya nyumba yetu niliiangalia ile nyumba ya jirani yangu nikagundua kuwa taa za
ndani zilikuwa zinawaka, nikatambua kuwa walikuwa macho na waliona kila kilichoendelea pale. Lakini nadhani hawakuwa na uwezo au labda
nao waliogopa kuingilia kati mambo haya ya kichawi.

Nililazwa nje ya nyumba yetu na mchawi mmoja akawa ananipigia manyanga huku akisema maneno ambayo nilikuwa siyaelewi. Mchawi yule alifanya
hivyo zaidi ya mara kumi.

Baadaye nilinyanyuliwa na kuwekwa kwenye chombo chao ambacho ni ungo mkubwa. Niliketishwa kisha kukawepo na mtu aliyekuwa amekaa nyuma yangu na kunishikilia nisianguke.

Nami kwa kuwa nilijua hatari ya kujionesha kuwa niliona kila kitu, nilijilegeza ili yule mtu aliyekuwa
amepewa kazi ya kunishikilia aamini kuwa nilikuwa sijielewi.

Nilipakatwa na wakati natafakari nini cha kufanya mama mkwe aliwaeleza wachawi wenzake kwamba kuna mama jirani amegundua siri zao.
“Yupo mama jirani hapa amegundua mchezo huu tunaoufanya,
“Ulijuaje kuwa amegundua?
“Alikuja jioni na kuwaambia hawa wanangu, kawaambia mambo mengi sana kuhusu sisi.

Baada ya kutamka maneno hayo, wachawi wale walipigwa na butwaa nami nikashushwa katika ungo ambao waliuandaa ili niruke nao.

Baadaye mchawi mwingine ambaye alionekana kana kwamba ndiye mwenye madaraka zaidi pale au kiongozi aliamuru turudi kwanza ndani.

“Hapa nje kufanya mashauri hayo siyo mahali pake, naomba turudi ndani ili tukayaongee haya,” alisema
kiongozi wa wachawi.
“Sawa, kwa hiyo tumrudishe ndani siyo?
“Ndiyo maana yake Hujanielewa?
"Sawa kiongozi.
"Vijana fanyeni kazi yenu,” alisisitiza yule kiongozi.

Nilijikuta nikinyanyuliwa juu kwa juu hadi chumbani kwetu. Nilikuta mume wangu akiwa bado hajitambui na pembeni yake kulikuwa na mwanamke mwingine
mchawi ambaye alikuwa akimlinda ili kuhakikisha kuwa hazinduki kabla mimi sijarejeshwa kutoka huko walikotaka kunipeleka.

Baada ya kuingizwa ndani nililazwa kando ya mume wangu na kundi kubwa la wachawi walikuwa wamekizunguka kitanda.

“Sasa tusimulie, huyo mama jirani alikuwa akiwaambia nini hawa wanao?
“Aliwasimulia kuwa kuna wachawi huwa wanafika hapa na kumchukua mtu, lakini aliwaahidi kuwa atawapeleka kwa baba yake ili akawape zindiko.
“Kama hivyo ndivyo naomba kitu kimoja, mtu mmoja aende sasa hivi kwenye nyumba ya mama huyo jirani akaone kama ana ubavu wa kutuzuia kufanya kazi yetu hususan kumchezea.

Aliamrishwa mtu mmoja kati ya wale wachawi waliokuwa wamezunguka kitanda kufuatana na mama mkwe wangu hadi kwa yule mama jirani yetu.

Walitoka na kwenda moja kwa moja kwa mama kibela. Sikuthubutu kufumbua macho ili kuona alikuwa amefuatana na nani lakini nilisikia wakitoka huku wakiwa wanashauriwa kutoacha usinga
ambao hufanya kazi ya kutengua zindiko lililowekwa katika nyumba wanayopania kufanya uchawi wao.

Watu hao wawili walifika katika nyumba ya jirani yetu na walikuta bado taa zikiwa zinawaka nje na ndani.
“Anza wewe mwenye usinga kwenda kuingia ndani,”
ulikuwa ni ushauri wa mama mkwe, Yule kijana aliyepewa kazi hiyo alimuangalia mama
mkwe na kumtupia swali.
“Nikiingia ndani, nifanye nini?”
“Wewe ingia tu, si tunaangalia kama nyumba hii ni nyepesi au nzito?”
“Hilo ni jambo gumu
"Kwahiyo hutaki?
"Sio kama sitaki
"Ila..?
"Kama nyumba ni nzito itakuwaje?”
“Kama ni nzito tutarudi kwa kiongozi wetu pale nyumbani kwa mwanangu halafu atajua cha kufanya.

Mle ndani wale wachawi waliobaki na kiongozi wao kazi yao ilikuwa kuchezacheza huku wakiimba kwa
sauti ya chini sana. Mmoja ambaye naamini ndiye alikuwa kiongozi
wao alikuwa akitia uvumba kwenye chetezo ambayo walikuja nayo na moshi ukatanda chumba kizima.

Baada ya mda Muda mfupi baadaye nilisikia sauti kali kama ya radi, nilipigwa na butwaa na kujiuliza kama nje kuna mvua au ni nini, sikuwa na jibu.

Baada ya dakika kadhaa kupita na wachawi wakiendelea kucheza ngoma za kichawi kwa kutumia manyanya, aliingia mama mkwe huku akitweta kama mtu aliyekuwa akikimbizwa.

"Heeee mwenzetu vipi mbona hivyo kugumu?
Mama mkwe alianza kueleza yale niliyoyaeleza juu kwamba walifika katika nyumba ya jirani yetu na walikuta bado taa zikiwa zinawaka nje na ndani ya nyumba. Akasema walibishana na kujiuliza nini watafanya mle ndani,

"Nikiingia ndani, nifanye nini?"
"Wewe ingia tu, si tunaangalia kama nyumba hii ni nyepesi au nzito?"
"Hilo ni jambo gumu.
"Kwahiyo hutaki ?
"Hapana .
"Ila..?
"Kama nyumba ni nzito itakuwaje?"
"Kama ni nzito tutarudi kwa kiongozi wetu pale nyumbani kwa mwanangu halafu atajua la kufanya..
"Kwahiyo ndio umeludi?
"Ndio Kule mambo magumu
"Sasa nyumba ni nzito ya huyo jirani ina maana ina zindiko?.
"Ndiyo maana yake kwa sababu yule kijana ameingia ndani, lakini ameshindwa kutoka, kwa maana nyingine ameganda, hawezi kunyanyua mguu.

Wachawi wote mle chumbani waliachana na mimi na mume wangu na kumzunguka mama mkwe ambaye alisimulia mengi na hasa jinsi alivyotumia usinga ili kumuokoa kijana aliyekuwa amefuatana naye lakini ikashindikana.

"Kilichobaki sasa ni sisi kwenda kwenye nyumba hiyo jirani ili kuangalia jinsi ya kumuokoa mwenzetu."
"Lakini nani ana zana za kumnasua mchawi akinasa?
"Mtu mmoja alisema yeye anao unga mweusi ambao ni mchanganyiko wa mkaa wa mifupa ya sokwe mtu na mafuta ya simba dume na ya nyani ambayo huwekwa kwenye tunguri.

Watu wengine wawili na mama mkwe pia yule mwenye dawa walienda nyumba ya jirani kwenda kumuokoa mwenzao aliyenaswa ndani ya nyumba lakini baada ya dakika thelathini walirudi wakiwa hawana mlengwa.

"Imeshindikana,
"Ina maana imeshindikana kabisa?
"Ndio ile nyumba ni hatari,.
"Mama mbona unatetemeka sana?
"Natetemeka kwa sababu yule mwenzetu kama itashindikana kumnasua na akakaa pale mpaka kesho asubuhi, nitaumbuka, kwa kuwa yule mama mwenye nyumba ile anajua wachawi huwa wanafika hapa, basi gogo litaniangukia."

Iliamriwa kuwa kiongozi wao aende kwake akachukue dawa ambayo waliamini kuwa ni bora kuliko ile ya usinga ili waweze kwenda kumnasua mwenzao.

Kitendo kile kilinifurahisha kwa sababu badala ya kunichukua mimi ili wanipeleke huko walikotaka kunipeleka sasa kazi iligeuka, ikawa ni kazi ya kumnasua mwenzao.

Walitoka chumbani kwetu na kusimama sebuleni lakini kila lililokuwa likizungumzwa nilikuwa nalisikia.
Chumbani kwangu kulikuwa na saa ya ukutani niliiangalia nikaona inasomeka kuwa ni saa tisa na nusu usiku na nilijaribu kumtingisha mume wangu, ikawa ni kazi bure kwani alikuwa amelala fofofo kutokana na dawa alizopakwa na wachawi.

"Jamani kaeni tu kwenye hizo sofa tumsubiri kiongozi," nilitambua sauti hiyo kuwa ni ya mama mkwe, alikuwa akiwakaribisha wachawi wenzake kama vile wapo pale kihalali kwa mambo halali.
Kimyaa kilitawala kwa dakika kadhaa na nikawa natamani nishuke nikawachungulie lakini moyo uliniambia nisifanye hivyo kwa usalama wangu.

Jogoo alisikika akiwika, hali hiyo ilinifanya niinue kichwa na kuangalia tena saa, ikawa inasomeka kuwa imetimia saa Tisa na nusu.

"Hii hali inatisha sana, unasikia majogoo wanawika, hiyo inaashiria kuwa kunakucha na watu wataanza kutoka mitaani hasa wale wanaenda kuchukua bidhaa sokoni," alisikika mama mkwe akizungumza.
"Sasa tufanye nini?
"Inatakiwa akili ya ziada kuamua cha kufanya,
"Au hapa tulipo kuna mtu ambaye ana dawa ya kumfanya mtu asionekane?" alikuwa ni mama mkwe akiwatupia swali wenzake.

"Hilo ungelikumbuka wakati mkuu anaenda nyumbani kwake kwa sababu kama hiyo dawa ipo, tungeitumia kama tutashindwa kumng'atua kwa leo pale aliponasa mwenzetu," alidakia mwanamke mwingine ambaye pia sikumfahamu kwa jina wala kumtambua kwa sauti yake.

Itaendeleaa ..............
 
BI MKUBWA
( sehemu ya 7 )

Endeleaa................

"Hii hali inatisha sana, unasikia majogoo wanawika, hiyo inaashiria kuwa kunakucha na watu wataanza kutoka mitaani hasa wale wanaenda kuchukua bidhaa sokoni," alisikika mama mkwe akizungumza.

"Sasa tufanye nini?
"Inatakiwa akili ya ziada kuamua cha kufanya,
"Au hapa tulipo kuna mtu ambaye ana dawa ya kumfanya mtu asionekane?" alikuwa ni mama mkwe akiwatupia swali wenzake.

"Hilo ungelikumbuka wakati mkuu anaenda nyumbani kwake kwa sababu kama hiyo dawa ipo, tungeitumia kama tutashindwa kumng'atua kwa leo pale aliponasa mwenzetu," alidakia mwanamke mwingine ambaye pia sikumfahamu kwa jina wala kumtambua kwa sauti yake.

Wakati wakiwaza hayo yule kiongozi mkuu wa wachawi akawa ameingia na tunguri zake nne zenye shanga. Kiongozi alipofika tu hakushangaa akaanza kuwapanga vijana wake.
"Vipi hapa?
"Safi tu kiongozi.
"Naomba mjiandae tuanze kazi.
"sawa mkuu
"Akafu kuna jambo la muhimu kingine
"Jambo gani hilo tena
"Naomba mwanaume mmoja akamvue yule jogari zile nguo tubaweza kujisahau akaamka ikawa kasheshe nyingine.
"Sawa,ngoja mimi niende,
"Ngoja wewe anaend Huyu, unataka kukimbia kazi sio
"Hapana kiongozi
"Sawa kazi ianze Mara moja

Baada ya maagizo ya mkuu wao yule kijana akaja kunivua zile nguo wakati wengine wanajiandaa kurusha makombora kumnasua mwenzao

Yule kijana akanivua nguo na kunifuta Yale madawa waliyonipaka Kwa kutumia kitambaa cha rangi nyeupe na dawa amvayo alikuwa anachovya ili kutoa Yale mafuta.

Walijitahidi kufanya shughuli zao za kishirikina kwa kurusha ‘makombora’ yao ya kichawi huku wakisema kwamba likitua kwenye nyumba ile ya jirani litasambaratisha dawa zilizomfanya
mwenzao anase.

Wakaanza kurusha makomba, radi ambazo zilikuwa zinasikika huko nje ni hatari, kama ingekuwa radi ya mvua basi mvua hiyo ingekuwa ya kiama, baada ya mda kidogo wote wakaingia tena ndani.

"Jamani hii shughuli imekuwa pevu
"Sijawahi kuona kwakweli.
"Sasa kama kiongozi unasema ujawahi kuona na sisi tusemeji?
"Shika adabu yako wewe mkuu mkuu nini?

Nilisikia wakibishana wengine wakidai yule mkuu wao kakosea kuchanganya unga wa dawa walizotumia kutengeneza makombora hayo.

Kwa kuwa kikao chao walikuwa wakifanyia kwenye sebule yetu, nilisikia wakisema dawa walizotia kwenye pembe ya nyati hazikutimia. Sikujua ni dawa gani walizotia kwenye ile pembe
lakini nilisikia mtu akiambiwa apulize kuelekea kwenye ile nyumba ya jirani.

“Nimepuliza tayari na kombora limekwenda lakini sasa itabidi watu
waende kumalizia kule kule kwenye nyumba, ”alisema yule mtu aliyekuwa akionekana kama kiongozi wao.

Baadaye alitumwa mama mkwe na kijana mwingine kwenda kwenye ile nyumba ya jirani ili kumalizia
dawa nyingine za kumnasua.
Wachawi wengine wote walikaa kwenye kochi pale sebuleni kana kwamba walikuwa ni wageni wetu
rasmi ambao walisubiri chakula au hotuba ya kukaribishwa na mwenye nyumba.

Walikuwa wakinong’ona maneno ambayo mimi nilikuwa siyasikii lakini nahisi walikuwa wakijadili ugumu au kazi waliyonayo ya kumnasua mwenzao
ambaye alinasa kwenye nyumba ya jirani.

Nilijitahidi kumtingisha mume wangu ili kuona kama ataamka lakini ilishindikana kwani alikuwa akiendelea kukoroma kutokana na dawa walizomnusisha, Wakati naendelea kumtingisha
mume wangu huku nikiwaza nini cha kufanya ili kumzindua nilisikia kishindo cha mlango wa barazani kufunguliwa.

Nilijikusanya pale kitandani na nikaenda
kuchungulia nikashuhudia mama mkwe akiwa na yule kijana wakiwa wamesimama mbele ya wachawi wenzao.

“Imeshindikana?
"Ndio kiongozi, alisema mama mkwe.
“Inamaana ile dawa haikufanya kazi?”
“Ndiyo maana yake.
"Au mmekosea mashart?
"Hapana, Tumejitahidi kupuliza ile
pembe nyingine kwa kupitia dirishani, ameshindwakunasuka.
"Kumbe anaoneka hata ukiw nje?
"Ndio taa hawaja zima
"Wewe mwenyewe anafanya jitaha gani?
"Atafanya nini mkuu, yani pale nikama vile miguu imepakwa supagluu.
"Duuu sijawahi kuona hii

Wakati wanazungumza hayo muda nao ulikuwa siyo rafiki yao kwani majogoo yalianza kuwika kuashiria kuwa kunakucha iikuwa in saa kumi na moja kasoro.

“Sasa jamani tumeshaumbuka, tufanye nini? ”alihoji mama mkwe.
“Hakuna cha kufanya, tungoje jua lichomoze tuone mwenye nyumba atafanya nini,” alisema kiongozi
"Mkuu mda umeenda sana ungewaruhusu watu waende makwao sasa?
“Sawa Cha kufanya kila mmoja arudi
nyumbani lakini ni muhimu kuwahi eneo la tukio ili kuhakikisha tunamlinda mwenzetu.
“Tutamlindaje wakati amenasa na tumejaribu kumnasua tumeshindwa?
“Kumnasua kweli tumeshindwa lakini tunapaswa kuhakikisha kuwa tupo pale kwa sababu siku hizi kuna mtindo mbaya sana wa kuua watu.
“Umesema kweli, wote tuwe pale,
“Unajua tukiwa wote pale tutazuia watu wasimpige au kumchoma moto.
"Kweli kabisa Mkuu upo sahihi
"Ni hatari sana kama tutamuacha peke yake.
“Lakini mimi sitaweza kwenda pale, nitakuwa nimeumbuka sana,” ilikuwa ni sauti ya mama mkwe.
"Kwani majirani wanajua wewe ni mchawi?
"Hapana, ila Kwa dawa za hawa nikienda watawez kunigundua bure.
“Sawa, wewe usiende lakini hutaeleweka vibaya?
“Hapana, Nikiamka tu nitajifanya nina malaria.

Wote walikubaliana kwamba asubuhi wawe eneo la tukio na watu wakijazana basi nao wawe kama mashuhuda lengo kuu ni kuzuia mauaji kwa
mwenzao.

“Nenda chumbani kampake dawa ya kumzindua yule baba mwenye nyumba, aliamuru kiongozi wa wachawi. Haraka sana nilifumba macho huku nikiyafunua
kidogo, kwa kuwa kulikuwa na giza hakuweza kuona kuwa naona.
Nilimuona yule mchawi akifungua kibuyu kidogo akanywa ile dawa na kututemea,

Itaendelea.......
 
Back
Top Bottom