Ushaanza upuuzi sasa wew.Hapo ulipo piga hatua kadhaa mbele, kata kulia nyoshaa moja kwa moja halafu kata kushoto utakuwa umefika.
Wewe jamaa upo?Sema mlinzi mambo?
Leo hakuna top ten kutokana na kutingwa na ishu maalumuTukimsubilia bitoz na top ten ...
Ebu na hiki kipengele kiwe special wakuu
Kapuku 'Proverbs
Ingependeza zaidi uwe unatuandikia kwa Kiswahili
Meaning: The fact of life is that we all sometimes have some bad days. Bad days meaning, days when things don't go the way we expect or the way they are supposed to. It has nothing to do with whether or not we are good or bad people. I'm talking about the situation when you know in your heart to have done no evil or wronged no one. That is, you have a clean and clear conscience. And yet something major goes wrong in your life. When this happens, it is not a time to blame or pity yourself. There is no reason to do that . You have done no wrong. And that will only worsen your situation. The best as question to ask yourself in such moment is not "why?" but "how?". Don't say "why me?" There is no apparent reason. You just happen to be the victim of that misfortune. Ask yourself how you can put yourself together and rise above that challenge. If you are alive, there is hope. Be hopefu kapuku ...
Yupo Beach Mabibo tangu saa 11 anapunga upepo na Mwajuma wa ManzeseWakuu..
Bitoz yuko wapi?
Salama mkuuSalama,mambo yanaendaje?
Msukuma ndo anazinguaPoa shemela cie tunasubiria hadithi tu hapa
Meaning: The fact of life is that we all sometimes have some bad days. Bad days meaning, days when things don't go the way we expect or the way they are supposed to. It has nothing to do with whether or not we are good or bad people. I'm talking about the situation when you know in your heart to have done no evil or wronged no one. That is, you have a clean and clear conscience. And yet something major goes wrong in your life. When this happens, it is not a time to blame or pity yourself. There is no reason to do that . You have done no wrong. And that will only worsen your situation. The best as question to ask yourself in such moment is not "why?" but "how?". Don't say "why me?" There is no apparent reason. You just happen to be the victim of that misfortune. Ask yourself how you can put yourself together and rise above that challenge. If you are alive, there is hope. Be hopefu kapuku ...
Ingependeza zaidi uwe unatuandikia kwa Kiswahili
Wengine tumeishia darasa la 5 tunapata shida kutafuta translation mkuu
.......
Story gani tena? Mambo yamebana balaa ndo maana hata kuchungulia humu ni kwa kusuasua.Poa poa msukuma watu wanalalamika hujawapa story wape bhasi
Nipo mkuu. Ni ishu tu za hapa na pale. Hata ww kuna wakati huwa unapotea sana ila ukijitokeza tu huyoo mapenzi moto moto na Sakayo. Couplez za hapa Rahatupu mna vituko sana hasa hizi couplez mpya ni pasua kichwa!Wewe jamaa upo?
RIP KevinMuendelezo wa nukuu ya suicide note ya kevin Carter. Party 4
Mwaka unaofuatia mwezi april Kevin anashinda tuzo ya Pulitzer Prize kwa picha aliyompiga mtoto aliyedhoofu kusini kwa sudani.
Miezi mitatu baada ya kushidna tuzo, Tar 27 julai 1994, Kevin Carter anaendesha gari hadi kwenye kiwanja cha study center, sehemu ambayo alikuwa anacheza wakati akiwa na mtoto. Baada ya kufika pale anapark gari yake na kufunga mpira kutoka kwenye exhaust ya gari yake na kuingiza ndani ya gari yake na kujifungia. Anavuta hewa ya carbonmonoxide ambayo ni sumu na mwisho anafariki dunia.
Kwa maelezo ya Jaoa silva alivyoojiwa na mwandishi wa kijapani Akio Fujiwara, anasema Kevin alitumia dakika 20 kupiga ile picha, alifanya hivyo kupata picha nzuri lakini pia anaamini Kevei aliataka kumbeba mtoto ila moyo ukasita akiogopa maambuzi ya magonjwa kabla ya kumfukuza kunguru na kumuaacha mtoto bila msaada.
Kevin alishindwa kumsaidia mtoto kwa kuwa alishapewa maelezo ya kutoshikana au kugusana wa watu ili kuepuka maambukizi ya magonjwa. Kutokutoa msaada kwa mtoto ndio kulikompa kevin carter msongo wa mawazo.
Baada ya post ya ile picha, na wasomaji kuanza kuulizia kama mtoto alifika kituoni, kevin anajua nini kilitokea sudani, kevin ndio anaejua kama kweli mtoto alipona na kutokumsaidia motto ndio kikawa chanzo chake kupata msongo wa mawazo, ndio kikasababisha kifo chake..
Baada ya maojiano ya silva na fujiwara kuna wanaosema silva hakutaka kuweka kila kitu wazi, Kevin alifariki kwa msongo wa mawazo, msongo ulisababishwa na yeye mwenyewe.
Ile Dhambi ya kutokumsaidia yule mtoto ndio ilikuwa inamtafuta hadi akapata msongo wa mawazo, ukirudi nyuma utakumbuka kevin aliwahi kupigwa jeshini baada ya kumsaida mhudumu wa magahawa, kevin alikuwa anaumia anapoona mtu anaonewa.
Kwa ajili ya ukumbusho wa Kevin Carter kuna wimbo ulitungwa na Manic street Preachers unaitwa Kevin Carter na Movie inaitwa Bing Bang Club
Huu ndio ulikuwa mwisho wa Kevin Carter.
Wimbo wa Kevin carter
Rest in peace kevin Carter
Pumzika kwa amani Kevin Carter.
**********Mwisho********