Kuna watu ambao huchukuliwa kama wahuni, wakorofi, wavuta bange, wezi na mambo mengine mabaya mabaya.
Wengine huwa wako hivyo lakini wengine ni tofauti, ukikaa nao na kuwasikiliza ni watu wazuri na wenye huruma mioyoni mwao.
Msikilize 2Pac katika hii interview aliyofanyiwa na MTV mwaka 1992.