Morning mukongoGoodmorning family[emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukimaanisha shemela yaan mpaka nimecheka kwa sautiAvatar ya Lee
hahahha ana maksudi huyo mtu acha tu hata sijui lini anarudiUkiona hivyo yupo njiani anarudi
Nimecheka sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama nakuona unavyocheka
Morning mukongoGoodmorning family[emoji4]
Asante kwa picha Bitoz
Alifariki November 25 1997 huko Johannesburg Afrika Kusini
Huko Malawi kuna akina Banda wengi balaa jina limebanda hadi Bongo
.
.
Ahsante kwa historia
.......
[emoji120]Mpaka hapo sina la ziada tukutane tena kesho muda na wakati kama huu
Kwa udhamini mnono wa binamu Obe, nawatakieni jumapili njema
Aisee, wazungu wabaya sanaKuna tetesi huyu Mzee walimuhasi alipokuwa Uingereza.
Hajawahi kuwa na mtoto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakujua nilijua tuNimecheka sana
Huko na jeshini JWTZ hapataguswa Mummy.Hili la vyeti likiingia polisi sijui itakuaje [emoji102]
Yua inglish iz difikalt[emoji23]asante mkuu kwa udhamini mkubwa wa magazeti once treat well how mama mchungaji
[emoji4] [emoji106]Chips ni mtihani,tukizitamani basi tupike nyumbani jamani mimi naogopaaa
Hawezi banaa mii nishakulove
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]leo ni siku ya avatar duniani? naona avatar zinafanana
Ulozi na Neno wapi na wapi???...hebu naomba link ya hichi kilugha
Afu msimfuateuate sana mama mchungaji, nitawaroga
Aiseee
Daah yaan najiuliza alivunja ungo akiwa na umri ganiIshu ya Huyu dogo wa miaka mi5 kupata mtoto inahuzunisha ,kuchekesha na kufurahisha kwa wakati mmoja
......
Ashapona yule Msukuma.....[emoji4]Mungu akuponye SHIMBA YA BUYENZE TUNAKUOMBEA NDUGU YETU,DAMU YA YESU INENE MEMA[emoji120] [emoji120]
Woyoooooooo yaan baba mchuchu nakuona unavuochukuliwa mama mchuchu wakoUlozi na Neno wapi na wapi???
Wewe na BH ni mafuta na maji kamwe hamwezi changanyika!!!
Hii ni K.O takatifu!!! [emoji120]
cc: all[emoji123] [emoji12] [emoji443] [emoji445] [emoji444]
Mchawi mtu oyooooooo[emoji23]ni baby wake binamu