Makapuku Forum

Makapuku Forum

Babangu ni habesh wa Ethiopia, maza mtz, nami ni mtz kwa kuzaliwa....nimeishi karibu mikoa yote tz kutokana na nature ya kazi yangu, ninasikia makabila zaidi ya 32, wskiongea natambua ni kabila gani.
Nimeishi mwanza, shinyanga, musoma, tabaora, dodoma, tanga,kilimanjaro , singids na sasa Arusha. Nimesomea Dar tangu nikiwa kachalii kadogo so dar nimeishi muda mrefu zaidi ya mahali popote tangu nizaliwe.
Wewe mtz tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom