mkubhi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 2,216
- 3,319
Nimeona na kukalili shunie!!kumbe ndio ulichokalili mkubhi
Nimeona na kukalili shunie!!kumbe ndio ulichokalili mkubhi
Jidanganye lee kwangu anatoa salute.hapana aisee ww ni mdogo sana kwangu
hahahhah kweli limetoka moyoniHilo jibu limetokaa moyoni kabisa nakuonaaaa
Unanidisapointi.fresh tu lete habari
sawa baki hapo hapo kwenye kukalili kwako watu tunacheza sebene la Yesu hapaNimeona na kukalili shunie!!
Hapana.Mondray umeshatoka Ba!!??![]()
![]()
![]()
Amina kubwa shunie .... Ila nimekubali tu!!sawa baki hapo hapo kwenye kukalili kwako watu tunacheza sebene la Yesu hapa
sbbu iliyoshiba ndio hela yangu inatokaSababu ya kuhamisha mlima ndo unataka!!??
ww ata 25 sijui kama umefikaJidanganye lee kwangu anatoa salute.
AmeenHabarini ya asubuhi wapendwa?
Shukrani kwa Mungu kwa wale walioamka wazima wa Afya tele, na pole ya kupona kwa wale waliamka wanaumwa sehemu yoyote katika miili yao. Mungu ni mwema wakati wote, mtapona na kurejea katika hali nzuri.

Unanidisapointi.

Ngoja niitafte hiyo sababu mpaka nile hela yako!!sbbu iliyoshiba ndio hela yangu inatoka