Makapuku Forum

Makapuku Forum

Habarini ya asubuhi wapendwa?
Shukrani kwa Mungu kwa wale walioamka wazima wa Afya tele, na pole ya kupona kwa wale waliamka wanaumwa sehemu yoyote katika miili yao. Mungu ni mwema wakati wote, mtapona na kurejea katika hali nzuri.
 
JAMANI NIELEWWKE VIZURI.
MM SITUMII KILEVI CHOCHOTE EITHER NON ALCOHOL OR ALCOHOL DRINKS.
NILIKOSEA TU KUANDIKA ILA KIUKWELI ILIKUA NI SHEREHE TU KWENYE UKUMBI.
Vombo>>>>>> muziki.
 
Habarini ya asubuhi wapendwa?
Shukrani kwa Mungu kwa wale walioamka wazima wa Afya tele, na pole ya kupona kwa wale waliamka wanaumwa sehemu yoyote katika miili yao. Mungu ni mwema wakati wote, mtapona na kurejea katika hali nzuri.
Ameen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom