Makapuku Forum

Wakùu tumshukuru mungu

Mungu yu mwema Siku zote...

KAPUKU let's think and re-think on the decision made by sizonje .....I see negative impacts on it coz even in normal case how Tanzanian doctors become the solution...anyway let's wait and see
 



Kapuku wenzangu hasa wale wanazi wa arsenal ...Ila kwanza pole sana najua mna mioyo ya uvumilivu...
Ila nilichokiona jana sasa ni dhahili

Arsenal wameamua kumlazimisha sasa Arsen aondoke..... Wanakosa passion, wanakosa kujiotoa, wanakosa mbinu, pia individual skills haifanyi kazi kama hapo awali.

Unapokwenda ugenini kukutana na timu kama West Bromwich Albion na ukaonesha kuwa saikolojia yako imeyumba ki ukweli ni lazima Albion wajivunie hali uliyokuwa nayo na wakuazibu tu......

Sasa ili kuiokoa Arsenal kimbinu, kisaikolojia, kurudisha passion kwenye timu, kurudisha morali ya mashabiki, kurudisha Imani ya mashabiki iliyoyumba mda mrefu pamoja na kuikata ile kiu ya ndoto za mafanikio kwa mashabiki na wachezaji wa arsenal basi ni Mzee wetu, babu yetu, mzee Arsen Wenger kupisha ili falsafa mpya za watu wapya zije kuiokoa na kuiweka pale Mashabiki na wachezaji wanaamini timu yao inastahili kuwepo.

Hiki ni kipindi kigumu sana kwa Arsenal kiujumla kutokana na kupambana na mambo mawili makubwa kwa wakati mfuatano...... Hapa Arsenal anapambana kuhakikisha anabaki katika zile timu nne za juu(top 4) lakini pia wanavita ya kuhakikisha wanapambana ili kumuondoa mzee wetu Arsen Wenger...... Hapa panahitaji maombi na kufunga siku uwezavyo.

Huu ni Msimu wa lawama..... Wacha tulaumiane.

Ft: West Bromwich Albion 3-1 Arsenal
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…