Makapuku Forum


Mwanzilishi wa kampuni ya Facebook, Mark Zuckerberg, Januari 27, 2017 aliweka picha mtandaoni sambamba na ujumbe ambao uliwagusa wengi katika kuchangia hoja zao.

Mark aliweka picha hiyo ikimuonesha yupo na mkewe jikoni wakiandaa chakula, picha hiyo iliwaonyesha wawili hao wakiwa na furaha huku wakiwatakia mashabiki wao heri ya mwaka mpya.
 
Mapenzi mubashara
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…