Wagogo bwana!!!
Umeambiwa haitafika? Muwe mnafuatilia habari kwa umakini badala ya kusikiliza mihemko
Serikali imesema inajenga kwa awamu/stage hicho kutoka Dar to Moro ni kipande tu kisha kuna Moro to Dom, Dom to Tabora zen Tabora to Mwanza n.k au hujui umbali wa reli ya kati....hizo sehemu zitajengwa na wakandarasi wengine tenda zitafunguliwa April
.........