Makapuku Forum

Mawe=kazi nzitonzito

Mkuu najua hilo niliongea kiutani tu

.......
Kazi nzito nzito ndiyo hasa zinazotakiwa kwa mwanaume popote alipo. Imagine nimekwenda kwa Trump wiki mbili hatimaye ishu niliyokuwa nahangaika nayo kwa muda mrefu ikaitika...and more to come
. Sasa hata nikianza "utani" na Shunie mambo siyo mabaya
.
 
Haya subiri mafuriko ya wadada PM
Watakusifia hadi sharubu

.......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…