Makapuku Forum

Sema jana ndo katia fola kaitwa kwenye sherehe na jirani wakati huyo jirani hana kadi ,ndo sijui walimtimua??


Ha hahahhahah, hivi nilisahau kuleta mrejesho!?
Ilikuwa hivi; jirani aliyenikaribisha anafahamiana na mpishi Alli Mapilau so tuliingia kama wapishi wasaidizi (MY-mind you; shida yetu ni kula na si kusheherekea mambo yao)
Kifupi tulifanikiwa na tulipiga mpunga na vinywaji kama mabosi vile na MA (Mission Accomplished)
 
 
Oooooraaaaaaaaaitaaaah bhinamuuu ...mujiniiii mipangoooi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…