Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kila kitimu jeuri sana,kadraw na Azam mechi zote mbili....ndiyo timu iliyoivunja rekodi ya Simba kwa kuwafunga baada ya kutamba mfululizo raundi ya kwanza
Na leo kamuharibia Yanga ingawa raundi ya kwanza Yanga alishinda 3
.....
..Life is that strange,haina formula!!
 
0296b4e7335308fecafa6b575644b08c.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom