Makapuku Forum

1943 - Seif Shariff Hamad anazaliwa.

Ni katibu mkuu wa chama cha wananchi CUF.

Alipata kushika wadhifa wa kuwa Waziri Kiongozi katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

Pia alishika wadhifa wa Makamu wa kwanza wa Rais katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar.

Anatajwa kama mwanasiasa anayekubalika sana huko Visiwani licha ya kutoka kwake Upinzani.

Mwaka 1998 alikamatwa pamoja Hamad Rashid na kuwekwa Kizuizini kwa makosa ya kutaka kupindua Serikali ya Rais Salmin Juma Komandoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…