Makapuku Forum

Ni mmoja kati ya walimu nnaowakubali zaidi waliowahi kuwepo hapa ulimwenguni
 
Kuna mshikaji wangu anapokea bumu 19000 kwa semester
[emoji23] anasema hiyo hela haitaki tena
Nakumbushia tu


[emoji652][emoji652][emoji652][emoji652][emoji652][emoji652][emoji652]


Uchaguzi wa mwaka jana 2015 tulipewa option mbili kwenye suala la Elimu

(1). ELIMU BURE MPAKA CHUO KIKUU
(2). ELIMU BURE MPAKA FORM FOUR

watanzania waliowengi walichagua elimu bure mpaka form four labda walijipanga nakuona Elimu kuanzia Advanced mpaka chuo kikuu wanaweza kujigaramia. Nashindwa kuelewa ivi haya malalamiko yanayotolewa kwa wanafunzi zaidi ya 66 elfu kukosa mkopo yanatoka wapi.
 
[emoji2] hivi gharama ya elimu iko huko chini au huku juu(high level - university)?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…