Makapuku Forum

Laiti hiyo time, power na concentration ungeiweka kwenye financial issues ungekuwa mlinionea Bongo.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Nyie endeleeni kukimbizana na sehemu mlipotokea(kuzaliwa)
[emoji12] nawaambieni HAMTAPAWEZA kamwe..!
Wewe iuwe misuli tu uje kupata manfongo, shaur lako.. Wenzio pale tumeumbiwa sisi.. Muumbaji mwenyewe aliona hilo swala akamleta eva au unadhan kwanin baada ya kumuona adam mnyonge hakumuumbia peter ampe kampan, akampa eva.. Dudu killer wee[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Laiti hiyo time, power na concentration ungeiweka kwenye financial issues ungekuwa mlinionea Bongo.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mie ni milionea wa nafsi, roho, na akili.. Nmeridhika hapa nilipo... Hayo mengine waachie wakina bakhresa although bado nina nafasi kubwa cz umri unaruhusu, akili ninazo na nguv ipo ya kutosha...

Siwez kumnyima mama watoto haki yake ya ndoa, nilimuolea nini binti wa watu nije kumtesa na genye zake.. Ningetaka ningekuwa jonax chaputa[emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…