Makapuku Forum

We mzee Ulikuwa wapi?
 
Roger that nyangema
 
Roger that nyangema
Maana hakuna anayelazimishwa au kufungwa na kifungu chochote kwamba lazima awepo kwenye hii thread km inamboa aende jukwaa la siasa akamjadili Profesa Lipumba,posho za mwenge na ndege za pangaboi
Asituharibie mood
Hatupendi kusikia ulalamishi na malumbano
..................
 
Umenena kwa hisia blaza nyangema naona hautaki sport sport [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…