Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1940 - Lluis Companys ananyongwa.

Alikuwa ni Rais wa jimbo la Catalonia ( Katalunya ), Jimbo ambalo linapigana ili kujitenga na Spain.

Alinyongwa kwa amri ya Dikteta wa Hispania, Jenerali Fransisco Franco wkati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe.
 
1966 - Black Panther Party yaanzishwa na Huey P. Newton na Bobby Seale.

Ni chama kilichojishughulisha na Harakati za kupigania haki za mtu mweusi.

Wakati kinaanzishwa, Mkurugenzibwa FBI wa wakati huo Edgar Hoover alidai chama hiko ni hatari kwa usalama wa ndani wa Marekani.
 
Utata wa picha
Moja ana jeraha na kipara
Nyingine akiwa kwenye jeneza ana nyqwle na kakovu
Zote akiwa kafa
......
.
Nimefatilia baadhi ya vyanzo mbalimbali vya habari, nimeconclude kifo cha Rommel kina utata sana, hakuna jibu sahihi jinsi alivyofariki.

Basi hata maiti yake kuwa na utata ni matokeo ya utata wa kifo chake nadhani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…