Makapuku Forum

1930 - Mobutu Sese Seko anazaliwa.

Alikuwa ni Rais na Dikteta wa zamani wa Zaire, kwa sasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

Anatajwa kama Bilionea wa kwanza Mweusi Ulimwenguni.

Alishiriki katika kukamatwa kuuwawa kwa Waziri Mkuu wa wakati huo, Payrice Lumumba.

Alipinduliwa mwaka 1997 na kukimbilia uhamishoni kabla kufariki huko Morocco na kuzikwa hukohuko.
 
Bora
 
Duuh hii kali
 
1968 - Matthew Le Tissier anazaliwa.

Ni gwiji wa mpira wa klabu ya Southampton unayoshiriki ligi kuu ya Uingereza.

Pamoja na uhodari wake wote wa kufunga magoli akiwa na klabu ya Southampton hakuwahi kuchezea timu ya taifa ya England.

Mashabiki wake humuita jina la utani " Le God "
 

Alijiuaje?
..........
 
Aisee, hiyo adhabu ni balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…