Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,296
- 68,376
Hapo hofu lazimaLeo katika Historia:
1933 - Chama cha Nazi cha Ujerumani chini ya uongozi wa Adolph Hitler chaiondoa Ujerumani kwenye Jumuiya ya Mataifa ( League of Nations ).
Hali hii ilipelekea uwepo wa taharuki kwa baadhi ya Nchi nyingine Duniani. Ilisababisha kutokea kwa vita kuu ya pili ya Dunia.
Mbona wewe huleti kituNamsubiri Mussolin5 na Magazeti ndiyo niondoke
Mi Maskini hahahahahaMbona wewe huleti kitu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
.......
Leo katika Historia:
1933 - Chama cha Nazi cha Ujerumani chini ya uongozi wa Adolph Hitler chaiondoa Ujerumani kwenye Jumuiya ya Mataifa ( League of Nations ).
Hali hii ilipelekea uwepo wa taharuki kwa baadhi ya Nchi nyingine Duniani. Ilisababisha kutokea kwa vita kuu ya pili ya Dunia.
Kumbe leo ipo holiday mkuu hajahairishaAu labda jana alijitwanga sana maana si unajua leo ni sikukuu
Ni mtanzania sema anafanana na wanyarwandana wewe yako tamu sana duuhh na kama unauraia wa rwanda
Kumbe it was real ESCAPE FROM SOBIBOR1943 - Wafungwa katika gereza la Kijerumani la Sobibor huko nchini Poland waanzisha mgomo na kujaribu kutoroka.
Wafungwa 300 katibya 600 wanafanikiwa kutoroka na kuua askari 11 wa Gereza hilo.
Gereza la Sobibor ni moja ya magereza ya Siri yaliyokuwa yanamilikiwa na Serikali katili ya Dikteta Hitler.
nikimuona kagame namkumbuka mtotobwakeNi mtanzania sema anafanana na wanyarwanda
Huyo ndiye Hitler1944 - Field Marshal Erwin Rommel katika Jeshi la Nazi la Ujerumani analazimishwa ajiue mwenyewe baada ya kuhusika kula njama za kutaka kumuua Kiongozi wa Nchi hiyo Adolf Hitler.
Baada ya kukiri kuhusika kwake, Hitler anamwambia Rommel ajiue mwenyewe ili kulinda heshima yake kutokana na mchango wake katika Taifa hilo.
Rommel anajiua na inatangazwa kuwa alikufa kwa ajali ya gari na anazikwa mazishi ya kitaifa kwa kupewa heshima zote.
Je alifanikiwa kwa kiasi gani?1982 - Rais wa wakati huo wa Marekani, Ronald Reagan anatangaza vita dhidi ya wauza madawa ya kulevya.
1943 - Wafungwa katika gereza la Kijerumani la Sobibor huko nchini Poland waanzisha mgomo na kujaribu kutoroka.
Wafungwa 300 katibya 600 wanafanikiwa kutoroka na kuua askari 11 wa Gereza hilo.
Gereza la Sobibor ni moja ya magereza ya Siri yaliyokuwa yanamilikiwa na Serikali katili ya Dikteta Hitler.
Amebana matumizi tuKumbe leo ipo holiday mkuu hajahairisha
Hahahahahanikimuona kagame namkumbuka mtotobwake