God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,068
Hii fursa naitamani ije tena sema sidhani maana yule manzi saiv atakuwa kaolewaWatoto wengi wa vigogo ni mapepe na wazinzi shida yao ni mapenzi tu siyo pesa
Duh mi alinidaodia sana coz nilikuwa napikiwa tu mapochopocho wakati home wanatumia pesa ya wali ndondo nolirudi likizo wanashangaa sijakonda
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
.........
Watoto wa maskini ili kuua soo tunaongezea ndizi mbivu bila hivyo ni shughuliHahahaha eti hela ya wali ndondo!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] mm nlikuonya mapema kuwa kule hautapaweza, alafu jamaa akawa anakomaa na wwAfu we nae umeyaleta huku ya nini....[emoji36][emoji36][emoji36]
Huoni nilivyomjibu....we kiranga uache kiranga chako[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha lakini yule jamaa hakuna wa kubishana nae anaweza kubishana na JF nzima [emoji4][emoji2] leo nmecheka sana baada ya kumuona Sweetiepie amekuja kwenye jukwaa la intelijensia kuchangia mada iliyopo, mara Ki,ranga akatokea na kuanza kumshambulia Sweetiepie kwa maswali..
Kilichofuata kwa Sweetiepie kilikuwa ni hiki[emoji116]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahahaaaaaaaaa![emoji23]
Life is once tulipata fursa tukatumia hakuna cha kujutaHii fursa naitamani ije tena sema sidhani maana yule manzi saiv atakuwa kaolewa
Ila kama vipi kikimuwasha nipo maana hakunaga ushemeji.
Sa hv nmepata demu hvyo nmepumzika kwa muda
[emoji2] [emoji2]
Nilitaka niendelee kumchimba zaidi ila nkaona nmwache tuSema neno bana jonax... Mbona kama umekubali kishingo upande?
Amini usiamini niliingia mule kimasoma....hii simu ilini mislead...[emoji53][emoji53][emoji23] mm nlikuonya mapema kuwa kule hautapaweza, alafu jamaa akawa anakomaa na ww
[emoji23] eti ukajibu "hivyo hvyo" jamaa na yeye akakupiga tena swali hapo hapo
[emoji2] kule mpaka uombe Poo ndo wanakuachia, la sivyo labda mbio zako zikuokoe[emoji125] [emoji125]
Mbeya uyole
Anabisha kwa fact sasa nyie wa blahblah mtamuweza vipiHahahaha lakini yule jamaa hakuna wa kubishana nae anaweza kubishana na JF nzima [emoji4]
Mnakaribishwa muende mkabishane naye kwa logicHahahaha lakini yule jamaa hakuna wa kubishana nae anaweza kubishana na JF nzima [emoji4]
[emoji86] Wacha weee!
Yaa bali naamini maisha mzunguko iko siku ntamkuta tena au wale wengine lazima niwale tuu.Life is once tulipata fursa tukatumia hakuna cha kujuta
.......
Leta link nikacheki battleMnakaribishwa muende mkabishane naye kwa logic
[emoji2] maana mmemuachia jukwaa anatamba mwenyewe tu
Umenikumbusha mbali afu wali ndondo na ndizi mbivu ulikua unapanda balaa [emoji4][emoji4]Watoto wa maskini ili kuua soo tunaongezea ndizi mbivu bila hivyo ni shughuli
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
....
leta link...............haaa haaaMnakaribishwa muende mkabishane naye kwa logic
[emoji2] maana mmemuachia jukwaa anatamba mwenyewe tu
[emoji2] ndo ukome sasa, sisi wengine ni wasomaji tu kule lakini siyo wachangiaji.Amini usiamini niliingia mule kimasoma....hii simu ilini mislead...[emoji53][emoji53]
Tutamweka pale Posta lakini ya LondonSasa itabidi wamuongeze Rooney
Lasivyo ataandamana
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
....
......
Kule ni mantiki tu na siyo hekayaAnabisha kwa fact sasa nyie wa blahblah mtamuweza vipi
.....
Ok, give me 2 minutesLeta link nikacheki battle
.......