Makapuku Forum

1986 - Marais Ronald Reagan wa Marekani na Michail Gobachev wakutana kujadili mustakabali wa kumaliza vita baridi.

Rais Ronald licha ya kuwa Mwanasiasa pia alikuwa ni muigizaji maarufu wa movie.

Ndiye Rais wa mwisho kunusurika kuuwawa baada ya kupigwa risasi iliyompata kwenye Mbavu lakini hakufa.
 

With GorbachevMurder attempt
......
 
Rais halafu mcheza muvi! Nimeipenda hii.....Ila yule jamaa aliemdungua Kennedy alikuwa noma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…