1.Nelson Mandela;alikuwa rais wa kwanza mweusi wa Afrika kusini kuanzia 1994-1999,mwanaharakati wa kupinga ubaguzi wa rangi,alifungwa gerezani kwa muda mrefu(27 yrs),mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel.Anatajwa kama kiongozi mahiri kuwahi kutokea Afrika.
****THE BOOK***
kesho tujadili hii mada kwa hoja za kihistoria "Nyerere ni bora kuliko Mandela"!!!!!
[emoji108] [emoji108] [emoji108]Mungu atupe uzima kesho tuwepo
[emoji2] bwahahaaaaaMwambie Kikofia
Puli zimemlemaza
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
.........
Uzi au post?ngoja kesho niandike uzi
Mwijageameandika nani???
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji2] bwahahaaaaa
Kwa hyo unataka kusema kuwa "imeathiri mpaka uwezo wangu wa kufikiri"?
[emoji2] ok, ila usije ukaiandika kiuchochozi maana itafutwa na serikali itadili na wwhuyu anabebwa na kukaa jera***subiri kesho
uzi hapa itakuwa vurugu,nadhani baada ya leo katika historia nainzisha huko njeUzi au post?
[emoji37] Kwedraaaa hukooo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
USIKU MWEMA
****************
nitaandika kistaarabu bila ya kumjaribu mtu[emoji2] ok, ila usije ukaiandika kiuchochozi maana itafutwa na serikali itadili na ww
Ndo mana hata mm nashindwa kuwa free kuongelea hili swala maana wasije wakaniWilimboka
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
The book kuwa makini[emoji115] msome mussolin5 hapo juu vizuriKwame huyuhuyu aliyekimbizwa kwa Rushwa??
kama ilivyo kwa mlima kilimanjaro sisi watz tunapokonywa sana vitu vyetu,Nyerere 1
haaaa haaa duuuView attachment 415258ngoja nibadili upepo
Nice dreamz[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Tukutane asubuhi
USIKU MWEMA
****************
Itakuwa vizurinitaandika kistaarabu bila ya kumjaribu mtu
Nawe pia mvuvi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Tukutane asubuhi
USIKU MWEMA
****************
ndio maana nasema Nyerere tumepokonywa status yake akapewa mwingineThe book kuwa makini[emoji115] msome mussolin5 hapo juu vizuri
Akina Walter Sisulu, Moses Mabhida.Ukiondoa kufungwa ana nini cha ziada, Oliver Tambo, Steve Bicco wale ni zaidi ya Mandela, kina Sithuru
Ni ngumu kuweka ukweli wote hapa inaweza kutuletea shida[emoji2] ok, ila usije ukaiandika kiuchochozi maana itafutwa na serikali itadili na ww
Ndo mana hata mm nashindwa kuwa free kuongelea hili swala maana wasije wakaniWilimboka
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Utegemee uzi kufutwauzi hapa itakuwa vurugu,nadhani baada ya leo katika historia nainzisha huko nje