Makapuku Forum

7.Thomas Sankara;alikuwa rais wa Burkina Faso 1983-1987,alichukua madaraka akiwa na umri wa miaka 33.Alisifika kwa kuondoa utawala wa "kifaransa" na rushwa serikalini .Aliuawa oktoba 5,1987 na kikundi cha kijeshi.Pia aliitwa "The African Che Guevara".
 
6.Patrice Lumumba(Prime Minister);alikuwa waziri mkuu wa kwanza kuchaguliwa huko DRC,aliongoza harakati za kuondoa utawala wa kikoloni wa "belgium".Baada ya nchi kuchukulia kijeshi na "Joseph Mobutu",Lumumba alifungwa gerezani kisha kuuawa january 17,1961.Umoja wa Mataifa unalaumiwa kwa kupuuzia mauaji haya.
 
Kifo chake chasikitisha sana
 
Apumzike kwa amani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…