shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
You too, thanks for news
You too, thanks for news
Ndiyo hivyoMzee wa Chatle kapata sababu..haendi ziarani zambia![]()
Morning makaveliMorng waheshimiwa makapuku..
Mie ndio hata sielew maskini.. Ntalala ndani tu siku nzima.. Cz without u siku"KUU" ni siku ya kawaida tu.Sijui ntafanyaje hii Eid without you...ntampa tu kampan mama nyumbani pia itakuwa poa zaidi.

Leo katika Historia:
1919 - Adolf Hitler anajiunga kwenye chama cha wafanyakazi nchini Ujerumani.
Baadae chama hiko kinabadilishwa na kuwa chama cha Nazi.
Same to u shem lake..
1943 - Wakati wa vita kuu ya pili ya Dunia, Dikteta wa Italy, Benito Mussolini anaokolewa katika kizuizi cha Nyumbani kwake na Wanajeshi wa Ujerumani.
PIGA PULIMie ndio hata sielew maskini.. Ntalala ndani tu siku nzima.. Cz without u siku"KUU" ni siku ya kawaida tu.![]()
![]()
![]()
![]()
1953 - Seneta John F. Kennedy ambaye baadaye alikuja kuwa Rais wa Marekani anamuoa mpenzi wake wa siku nyingi Jacquliene Lee Bouvier katika Kanisa la St. Marys huko Newport, Rhode Island.
Angesalimiaje! Hapo kapona