Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,636
Sh 100pango nin
.......
Sh 100pango nin
Morning!!Morning shem lake!
Bora umeliona jua, ck 2 silioniNi kwema sana kajua kamechomoza na kaubaridi flani hivi
mmmh hawa wawapi
Huyu jirani mwaka huu hautoisha lazma ale mema ya nchi kwakweli...Ankali ni mvumilivu sana, na type hiyo ndo hula mbivu na mema ya nchi![]()

Based on fact....thanx shem lake!

Morning shululuMorning all
CC: JJNi kwema sana kajua kamechomoza na kaubaridi flani hivi
Mungu yu mwema.Ni jambo jema nala kushukuru Mungu kwa kutuamsha salama
Huu sasa ni uchochezi!!




Chezea made in China wewe!
Yani leo niko hapa kapukuni kwa hasira sana...Kweli ww mtoto wa mama
Unapenda deko tu
Hebu acha vitu vya bure
![]()
![]()
![]()
![]()
.........
Teesher saner kikofiaasubuhi njema wote wanaKF
Mlikuwa nami;
City Boy
Kikofia
Jonax
Mr. Kutambariiing
Johnax
Nlkuwepo kwa udhamini waView attachment 393804ametupia post ya 97k
ASANTENI
Mambo ya Historical sites...wapi hii?? niende Asap!!




Morning, habari za family QuigleyMorning shululu
Mmh hii nyumba nna wasiwasi nayo haishi Serial killer kweli humu!!? mbona mazingira tatanishi!!

Nimeitoa sehemu inahusu majengo ya ajabuMambo ya Historical sites...wapi hii?? niende Asap!!![]()