Makapuku Forum

Kazi yoyote halali mmi ni binti nina miaka24 elimu yangu kidato cha nne
Siku hizi ajira ishu usishangae mjini digrii kibao hawana kazi...km upo mkoani komaa upate mtaji halafu ndo uje mjini kujaribu biashara huku unatafuta ajira
Mjiniukiwa na akili hulali njaa
Lakini huku "vibarua" ndio vingi
..............
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…