Namjua sana, wakati anaenda kugombea kuwa mwenyekiti wa simba,simu yake ilikuwa mbovu sana,akaipeleka kwa fundi ikatengenezwe
Baada ya kufika kwa fundi anamwambia nipe simu yako nitumie kwenye kampeni, wakati unanitengenezea simu, alivyopewa na kushinda hakurudi tena kwa fundi wa simu