Makapuku Forum

Duh! Huyu jamaa wa wap asee.. Abudhabi moja nini?
 
Jamani jamani Mungu tuone sisi wanyonge...hizi ni kufuru sasa...[emoji24] [emoji30] [emoji30]
 
Number 1, Sheikh Mohammed bin Zayed Al Nahyan and Princess Salama – $100 Million
Jamani hawa mi siwajui hawa vzuri nadhan ni watu wa brunei
Lakini wana dai karibu kila kifaa kilicho tumika kwenye harusi hiyo kilikuwa ni cha dhahabu.na walialikwa takruban watu 20,000 na kwenye chakula cha usku katika kasri ya mflme walikuwepo takriban watu 3,500
Una ijua hela ya kununulia chakuka cha watu 23,500 wewee!!! Hahaha hao ndio waarabu
 
Duh! Watu wame enjoy duniani..
 
Wakati sie huku bongo mtu anaoa/anaolewa bajeti ya watu 200 povu hatari kwamba gharama. [emoji23] [emoji23]
 
Kwa hawa watu haishangazi, hela kwao sio tatizo... 'Tatizo ni hela' [emoji4][emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…