Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1962 - Marilyn Monroe anafariki.

Ni mwigizaji na mwanamitindo mashuhuri wa miaka ya 1950's huko Marekani. Alikuwa ni mrembo aliyesifika miaka hiyo.

Kifo chake kinabaki kuwa miongoni mwa vifo tata kuwahi kutokea nchini Marekani.

Inaaminika aliuwawa kwa kuwa alitembea na Rais John F. Kennedy pamoja na Kaka yake Robert Kennedy hivyo alipotaka kutoa siri hyo wakamnyamazisha.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…