1936 - Jesse Owens ashinda mbio za mita 100 na kushangaza watu wengi akiwemo kiongozi wa Ujerumani Adolf Hitler katika mashindano ya Olimpiki ya majira kiangazi huko Jijini Berlin.
2004 - Mnara wa Liberty huko Marekani " Liberty Statue " wafunguliwa upya mara baada ya kufungwa kwa muda baada ya kutokea mashambulizi ya kigaidi ya September 11, 2001 huko Marekani.