PoaDaaah hiii ntaipitia tu
Number 9, Mariah Carey – 130 Million View attachment 373022 huyu ndie msanii wakike ambaye mimi namoe da kuliko woote yaan nna mmind ki ujwl ukwl yaan
Huyu ana fahamika kwa kufanya duet na Boyz II Men, ilo itwa “One Sweet Day,” ambayo ilikaaa kwenye namba 1,ya Billboard Hot 100, kwa wiki 16 na ikaweka rekodi mpaka leo ambayo haija futika
Na pia ana nyimbo 8 tofaut ambazo zime shka namba moja kwenye chati za muziki huko US kitu amacho ni rekodi kwa msanii yeyote wa kike
Yeye kauza nakala milion 130 ya kazi zake
Hata mi namkubali sana mwanamama huyuNumber 9, Mariah Carey – 130 Million View attachment 373022 huyu ndie msanii wakike ambaye mimi namoe da kuliko woote yaan nna mmind ki ujwl ukwl yaan
Huyu ana fahamika kwa kufanya duet na Boyz II Men, ilo itwa “One Sweet Day,” ambayo ilikaaa kwenye namba 1,ya Billboard Hot 100, kwa wiki 16 na ikaweka rekodi mpaka leo ambayo haija futika
Na pia ana nyimbo 8 tofaut ambazo zime shka namba moja kwenye chati za muziki huko US kitu amacho ni rekodi kwa msanii yeyote wa kike
Yeye kauza nakala milion 130 ya kazi zake
Number 8, Eagles – 130+ Million View attachment 373024 Despite what Aerosmith might claim, according to the official numbers the Eagles are the biggest-selling American band of all time, with an estimated total of over 150 million records worldwide, which seems to be realistic if one takes into account that their certified album sales are over 130 million with a little more than 100 million of those in the US alone. Their Greatest Hits (1971–1975) shares the top spot with Michael Jackson’s Thriller as the best-selling album ever in the US with 29 million copies sold and is one of the highest-selling albums globally with 45 million copies sold worldwide.
Number 7, Led Zeppelin – 140 Million View attachment 373033hawa ndo bendi ya pili kwa kuuza zaid duniani na wana kadiriwa hata kufikisha nakala milion 200 au 300 za mauzo
Number 6, Garth Brooks – 145 Million View attachment 373040huyu bhan mie mwenyewe simjui ila naskia et ni msanii mzuri na kauza sana
Hahahaa what a joke!!! We dont even know him
Number 5, Elton John – 162 Million View attachment 373044mzee wa sacrifice,mzee wa nyimbo kali za mapenzi na za taratibu huyu ni msanii solo ambaye kauza zaid uingereza ni mtengenezaji wa kazi ya sanaa ilo uza zaid uingereza akishka namba mbili nyuma ya the beatles
Mnamo mwaka 1997 wimbo wake wa “Candle in the Wind,” uliuxa nakala 33 milioni ni singo pekee kuuza zaid duniani
Lakin pia huyu ana yale mambo ya kina james delicious au kaoge wa zamaradi kwa hiyo mimi huwa na pretend kama ha exist duniani na leo na pretend kama nme toa top 9
Number 4, Madonna – 166 Million View attachment 373051yuko kwenye kitabu cha rekodi za dunia kwa kuwa msanii wa kije aliye uza nakala nyingi zaid duniani na pia yeye ana dai kauza nakala zaid ta milioni 200 lakin vyeti vya masoko vinaonesha kuwa ana pungua kidoogoo kwenye nakala 170 milioni
Na jimena je?[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Number 9, Mariah Carey – 130 Million View attachment 373022 huyu ndie msanii wakike ambaye mimi namoe da kuliko woote yaan nna mmind ki ujwl ukwl yaan
Huyu ana fahamika kwa kufanya duet na Boyz II Men, ilo itwa “One Sweet Day,” ambayo ilikaaa kwenye namba 1,ya Billboard Hot 100, kwa wiki 16 na ikaweka rekodi mpaka leo ambayo haija futika
Na pia ana nyimbo 8 tofaut ambazo zime shka namba moja kwenye chati za muziki huko US kitu amacho ni rekodi kwa msanii yeyote wa kike
Yeye kauza nakala milion 130 ya kazi zake
Number 3, Michael Jackson – 175 Million View attachment 373056 king of Pop , the best that ever was, kwangu ni msanii bora wa muda woote na hakuna atakaye kuja kufanya nibadili admiration yangu kwake
Japo familia yake na washabiki wake wana sema aliuza zaid ya nakala milioni 400-750 wataalam wana sema hapo wamezidisha
Huyu ni msanii aliye toa album bora kuliko zote dunian katika mauzo (Thriller), video ya music iliyo uzwa sana kwa muda wote, na pia ni mwana muziki akiye pata tuzo nyingi kuliko woote walio pata kuwapo.
Michael kwangu ni zaid ya msanii
RIP Michael[emoji24]
Safi mbabaFresh tu mkuu.. Vip wewe golia
EeehNzuri, vp wewe