Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1868 - Marekani yafanya marekebisho kwenye katiba yake na kuruhusu kuwatambua watu weusi kama Raia wa nchi hiyo.
1469690844040.jpg
1469690849512.jpg
 
Leo katika Historia:

1965 - Rais wa Marekani Lyndon B. Johnson anatoa amri ya kuongeza idadi ya askari wake katika vita ya Vietnam kutoka 75,000 mpaka 125,000.

Pamoja na yote hayo, Marekani ilishindwa vibaya sana vita hiyo ambayo ilipigwa kwenye misitu minene huko Vietnam.
 
Leo katika Historia:

1954 - Hugo Chavez anazaliwa.

Alikuwa ni kanali katika Jeshi na baadaye kuja kuwa Rais wa nchi ya Venezuela.

Komredi Chavez anakumbukwa sana kwa misimamo yake na isiyoyumba dhidi ya Marekani.

Ni moja kati ya Makomredi walioisumbua sana CIA kando ya Komredi Fidel Castro.

Alifariki mwaka 2013, wengi wanashuku kifo chake kilitokana na faulo toka kwa Marekani.
 
Back
Top Bottom