briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Huyo mjasiriamali hapo anatengeneza sana hela yan mpaka mida hii bado anauza?Kabisa, kama hivi mimi nakula machungwa hapa
Huyo mjasiriamali hapo anatengeneza sana hela yan mpaka mida hii bado anauza?Kabisa, kama hivi mimi nakula machungwa hapa
Mbona hii inatofautiana na ile ya kwenye chupa? Huo sio uji wa mchele kweliView attachment 372167
Mi nakunywa togwa sitaki usumbufu
[emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111]
...........
Yupo hapa kibaoni tegetaHuyo mjasiriamali hapo anatengeneza sana hela yan mpaka mida hii bado anauza?
HeheheheMkuu hizi kumi za leo zilikua za kusisimua kidizaini nilianza kuchungulia mda ule nkaona nile kwanza nsije nikagairi huko mbele, umezipresent vizuri sana aisee.. Kama uko karibu na kwa mangi hapo agiza tu chochote nakuja kulipa sa ivi [emoji4]
Shusho
Mimi je[emoji15] [emoji15] [emoji15]Mkuu hizi kumi za leo zilikua za kusisimua kidizaini nilianza kuchungulia mda ule nkaona nile kwanza nsije nikagairi huko mbele, umezipresent vizuri sana aisee.. Kama uko karibu na kwa mangi hapo agiza tu chochote nakuja kulipa sa ivi [emoji4]
Ha ha ha watahangaika sana ila makapuku forum ni homa ya dengue ama nene[emoji3] [emoji3] [emoji3]Siku hizi kila Uzi chitchat ni FORUM ndo gia ya kutokea
Msema kweli forum
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
.....................
Wapotezee tu[emoji3] [emoji3] [emoji3]Kwa kweli walinchanganya kabsa kabsa hapo
Kila mfa maji........,Siku hizi kila Uzi chitchat ni FORUM ndo gia ya kutokea
Msema kweli forum
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
.....................
Haaaa
Nadhan wame msingizia
[emoji133] [emoji133] [emoji133] [emoji133] [emoji133] [emoji133] [emoji133]Naona ndo unatusemea kwa Bae [emoji86] [emoji86] [emoji86]
Ni mtindiMbona hii inatofautiana na ile ya kwenye chupa? Huo sio uji wa mchele kweli
Asante nawe pia
Nawe pua mkuuUsiku mwema makapuku
So!!?