Mh!!! Kuna watu wana roho mbaya!!! Mtu wa kurost!!!The Brazen Bull
View attachment 371454
Hii ilifanyika zaid huko sicily na ugiriki ya zamani
Mtu alichukuliwa na kuwekwa ndani ya ngombe wa chuma, mwenye tumbo la bati
Moto uliwashwa chini kabisa ya tumbo hilo la ngombe wa bati, then bati linavo zidi kupata moto mtu alikuwa aki rostiwa na kulia kwa maumivu makaliii sanaa
Lakini kwa walio kuwa nje kwao haiku wasumbua kwani sauti ya maumivu ilikuwa ikisikika kama sauti ya ngombe au muungurumo wa mnyama hivo mtu alifariki kwa maumivu makaliii na kwa ku rostiwa mpaka akate roho lakin kwa walio nje ilikuwa ni burudani tosha
Kimalkia nacho[emoji12] [emoji12] [emoji12]View attachment 371491
Hii naomba ni i quote ki inglish
"Usually filled with molten lead, tar, boiling water or boiling oil, it was used to torture victims by dripping the contents onto their stomach or other body parts like the eyes. Using this device the torturer would proceed to pour molten silver on the victim’s eyes which resulted in agonizing pain and eventual death".
The Judas Cradle
View attachment 371477
Kwanza ilikuwa lazima mtu awe uchi kabisa ili kumuongezea aibu halafu alifungwa kamba mikono na miguu alafu alikaliwsha kwenye hiyo pembe tatu na kamva zililegezwa zaid na zaid ili kufanya "anus" yake izidi kuzamishwa na kumuumiza na kwa kuwa walikuwa hawa paoshi watu wengi hawakufa kwa maumivu bali kwa vacteria mbali mbali walo kuwa hapo hii pia ilichukua siku kadhaa mtu kukata roho
Kutokuweka namba leo, utasababisha watu tuhesabu mpaka vidoleIron Maiden
View attachment 371496
Mi mwenye sjaelewa hii ilikuwaje lakin we elewa ilikuwa ni deadly na inaumiza
[emoji28]
Kwenye Dunia hii watu wengi huwa wanapitia mateso makali sana, hasa watu wa kale
Iron Maiden
View attachment 371496
Mi mwenye sjaelewa hii ilikuwaje lakin we elewa ilikuwa ni deadly na inaumiza
[emoji28]
Pamoja sana mkuuNazileta mbili zaid za bonus
Endelea kuwa nami
Coffin Torture View attachment 371503
Hii ilikuwa ndo wana ipenda zaid watu wa zama za giza aka medieval period walikuwa wana kuchukua wana kuweka kwemye kisanduku ambacho kina kufiti wana kutundika kwenye mti au juu ya paa then wana kuacha hapo ambapo kunguru au mweweau ndege wa aina yyte ata kutafuna ukiwa hai au ukiwa umekufa kwa njaa hii ilikuwa hataree
Sanaa, ukizingatia zama zile maarifa yalikuwa badoKwenye Dunia hii watu wengi huwa wanapitia mateso makali sana, hasa watu wa kale
Zinavutia na kusisimua ndo maana naongezea mapichaNazileta mbili zaid za bonus
Endelea kuwa nami
Walikuwa na roho mbaya saana, bila hurumaCoffin Torture View attachment 371503
Hii ilikuwa ndo wana ipenda zaid watu wa zama za giza aka medieval period walikuwa wana kuchukua wana kuweka kwemye kisanduku ambacho kina kufiti wana kutundika kwenye mti au juu ya paa then wana kuacha hapo ambapo kunguru au mweweau ndege wa aina yyte ata kutafuna ukiwa hai au ukiwa umekufa kwa njaa hii ilikuwa hataree
Kipindi hicho maarifa yalikuwa juu,ila hapakuwa na hakiSanaa, ukizingatia zama zile maarifa yalikuwa bado
Thumbscrew
View attachment 371508
Hii nayo medieval period wali ilitumiwa sana kwaa jili ya kumfanya mtu a confess hii hawakulenga kuua mtu
the thumbscrew au ‘pilliwinks’ ilitumika kukata vidole na mguu wa chini lakin zilikuwepo kubwa kabsa hizo zlikuwa zina saga miguu yote au mikono yotee
Sasa ilikuwa kama husemi kitu au hu confess wana chukua mashine kubwa kabisa hiyo ina sigina au ina saga kichwa chootee