Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1961 - John F. Kennedy Rais wa 35 wa Marekani anatoa hotuba ya kutoa msisitizo kuwa mashambulizi iwapo Berlin itashambuliwa basi wao wanaamini Nato nzima itakuwa imeshambuliwa.

John F. Kennedy alikuja kuuwawa November 22 Mwaka 1963
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…