Makapuku Forum

FIX ZA BITOZ IV:
Papai = Mtu mnafiki
Kitwakoro=Mataputapu
Kulaza nzi= kukwepa ugomvi
Kungongota= kutongoza
Pwasha= Mtu anayejisikia/mwenye nyodo

Nasikia Ngedere ndo Pwasha maarufu wa Jf halafu anajifanya bingwa wa kungongota vishikwambi na vikudwi akilewa Kitwakoro
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…