Aisee! pako vizuri kumbe, ushawah panda mlima braza? Natamani nipande mlima ila nianze kilimanjaro kwanzaIna makumbusho ya ndege aina nyingi sana walohifadhiwa kitaalam, black and white collubus, wanyama aina mbalimbali kwenye uwanda uitwao serengeti ndogo, ina kreta, maziwa madogomadogo, inavutia kiasi chake...bila kusahau kupanda mlima Meru
Hapo nimepata pichaHaizidi 5,000 kwa siku, but usipokwenda nayo ukifika kule mbugani utatozwa kuanzia dollar 20 per night hadi dollar 30 kwa luxury tent, chakula mara nyingi tunaandaa lunch box inakuwa ni cheaper kuliko kununua hotel za mbugani hazifai, so tunakuwa vyakula fresh vya kupika na mabread, matunda huku day wani unakuwa na luch box
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kimefanana na Diego Costa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mi pia nakubali gari kwa safari kama hizoKwa wanaotaka kutumia mda mfupi ndo wanatumia chopa na ni expensive sana lakin binafsi naona kwa gari ndo mtu unaenjoy zaid unaiona view kwa karibu zaidi huku mnatembea taratibu
Karibu sanaHapo nimepata picha
Maybe...hiyo njia ya loliondo nilihadithiwa naskia ni balaaLabda sababu ilikuwa mara ya kwanza, hata hivyo umepitia njia nzuri, kuna njia ya longido, kupitia natron, loliondo hadi serengeti cleins gate ni balaaa
AndaaNimepita kuulizia kama kesho niandae biriani au mwezi bado umefichama.
Yani mi pia natamani sana kupanda mlima kilimanjaroAisee! pako vizuri kumbe, ushawah panda mlima braza? Natamani nipande mlima ila nianze kilimanjaro kwanza
Asante sanaKaribu sana
[emoji15] Ni mtoto wa Bitoz huyo..Ila kenyewe ni kabaya zaidi
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134][emoji15] Ni mtoto wa Bitoz huyo..
Ila amependeza pamoja na baba ake
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji15] Ni mtoto wa Bitoz huyo..Ila kenyewe ni kabaya zaidi
Mkuu nchi hii inavivutio vingi balaa, kabla hujafika natron kuna bonde paaana sana pembeni ya mlima oldonyo lengai, kuna wanyama weengi sana, ukimdanganya mgeni kuwa ni serengeti ataamini, baada ya natron iliyopambwa na ndege aina ya flamingo, kuna kilima chenye kona 17 kimepambwa na mawe/ majabali yamejipanga kama tofali yanavutia hakuna mfanoMaybe...hiyo njia ya loliondo nilihadithiwa naskia ni balaa
Halafu eti ni nchi masikini[emoji134] [emoji134] [emoji134]Mkuu nchi hii inavivutio vingi balaa, kabla hujafika natron kuna bonde paaana sana pembeni ya mlima oldonyo lengai, kuna wanyama weengi sana, ukimdanganya mgeni kuwa ni serengeti ataamini, baada ya natron iliyopambwa na ndege aina ya flamingo, kuna kilima chenye kona 17 kimepambwa na mawe/ majabali yamejipanga kama tofali yanavutia hakuna mfano
Haiingii akilini, wenzetu huko majuu ujuavyo jimena wakipanda mpapai utakua zaidi ya miaka 12 lakini hapa miezi 3 unakula na ardhi pekee kabla ya vivutio inatosha kututoa lakini ndo tuko vileHalafu eti ni nchi masikini[emoji134] [emoji134] [emoji134]
Huyu mbona ni kapuku mwenzetu?[emoji41] huyu fundi aliyepaka huu ukuta wa hospital ya muhimbili mnamfahamu?
Tanzania ni nchi inayovutia sana kuna mtu aliwah kuniambia kwa uzuri huu tanzania ndo ile nchi inayotajwa kwamba ni ya ahadi... Hao flamingo wanapendezesha sana ziwa manyara pia na kuna science moja nilipewa pale jinsi hao ndege wanavyopata prey yao kwenye maji ni noma sana wale maprofessional tourguide wanajua sana aiseeMkuu nchi hii inavivutio vingi balaa, kabla hujafika natron kuna bonde paaana sana pembeni ya mlima oldonyo lengai, kuna wanyama weengi sana, ukimdanganya mgeni kuwa ni serengeti ataamini, baada ya natron iliyopambwa na ndege aina ya flamingo, kuna kilima chenye kona 17 kimepambwa na mawe/ majabali yamejipanga kama tofali yanavutia hakuna mfano
Uko sahihi, ukitembelea kule unahisi ka vile uko nje ya tz kumbe...Tanzania ni nchi inayovutia sana kuna mtu aliwah kuniambia kwa uzuri huu tanzania ndo ile nchi inayotajwa kwamba ni ya ahadi... Hao flamingo wanapendezesha sana ziwa manyara pia na kuna science moja nilipewa pale jinsi hao ndege wanavyopata prey yao kwenye maji ni noma sana wale maprofessional tourguide wanajua sana aisee
Afu naskia hakuna gharama sana kwa mtanzania, ntatafuta info zaid ikiwezekana mwakani na mi nipandeYani mi pia natamani sana kupanda mlima kilimanjaro