Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,117
Hata mi namkubali sanaInasemekana alimfanyia fitna Camilo Cienfuegos ( Jamaa aliyepo kwenye avatar yangu ) na kumpoteza duniani.
By the way ni mmoja kati ya viongozi makini waliowahi kutokea katika uso wa dunia na namkubali sana kwani kama sio ushupavu wake leo hii Cuba ingekuwa sehemu ya USA.
Kiongozi pekee aliyenusurika majaribio mengi ya kuuwawa. Majaribio 82.