Usemayo ni kweli.
Wengi wanatamani kuanzisha biashara/kampuni binafs but wanaogopa kuthubuti. Wanajiuliza cjui itakuwaje mambo yasipoenda ninavyotarajia. Ukithubutu na kukomaa hakika hutojuta.
Huwa nashauri vijana wenzangu kuwa na moyo wa uthubutu na kusimamia MALENGO BILA WOGA.