Makapuku Forum

Makapuku Forum

watu wengi wana ndoto hizo,ishu kuwork on it
Usemayo ni kweli.
Wengi wanatamani kuanzisha biashara/kampuni binafs but wanaogopa kuthubuti. Wanajiuliza cjui itakuwaje mambo yasipoenda ninavyotarajia. Ukithubutu na kukomaa hakika hutojuta.
Huwa nashauri vijana wenzangu kuwa na moyo wa uthubutu na kusimamia MALENGO BILA WOGA.
 
Usemayo ni kweli.
Wengi wanatamani kuanzisha biashara/kampuni binafs but wanaogopa kuthubuti. Wanajiuliza cjui itakuwaje mambo yasipoenda ninavyotarajia. Ukithubutu na kukomaa hakika hutojuta.
Huwa nashauri vijana wenzangu kuwa na moyo wa uthubutu na kusimamia MALENGO BILA WOGA.
kweli kabisa
 
5e25dc993a95156edc972b3647b1e22e.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom